Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Yanga tunahitaji ushindi
0 Reactions
0 Replies
562 Views
Yanga leo imesafiri kwenda Comoros kucheza na ngaya fc
0 Reactions
0 Replies
599 Views
habari wakuu,hii kwa yule ambaye yupo serious/dreams za kuwa na RECORDING studio au MULTIMEDIA(mobile studio), tunaweza shirikiana tufanye kitu kwasababu ninauzoefu na shughuli hizo(recording &...
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Miaka ya 90's Yondo Sister alitoa albamu yake iliyofanya vizuri sana hapa nchini. Ila napenda kujua yule rapper aliyekuwa anakamua baada ya Yondo kumaliza kuimba anaitwa nani. Mfano kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Timu ya soka ya Barcelona imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya kombe la mfalme au copa De rey nchini Hispania kufuatia sare ya kufungana goli 1-1 na Atletico Madridi. Goli la Barcelona...
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Habarini Wadau, Katika kipindi cha comedy ya FUTUHI kinachorushwa na Star TV, ukimuondoa Brother K yule wa mashati Oversize labda na yule Mjaluo, wengine wanaboa sanaa Nafikiri wana juhudi sana...
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Geti na Ukuta wa Chuma Ni asubuh nyingine kama kawaida Lusajo anaamka na kujinyoosha tayari kuanza kujiandaa kuelekea kazini, anakumbuka kuwa jana alisahau kununua mkate. Amejenga mazoea ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Video ya mwanadada akisasambuka vilivyo na ngoma ya Diamond platnumz - mdogo mdogo. Hebu itizame mtu wangu.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nashangaa wakati huu timu ya taifa vijana imefuzu michuano ya afcon kila mtu yupo kimya na hakuna anayeona mafanikio ya Malinzi. Kwa hiki kilichofanyika isitoshe kuona Jamal si mtu sahihi katika...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Mara moja kwa wiki sio mbaya lakini wakuu...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Msanii Ommy Dimpoz ambaye anafanya vyema na wimbo wake 'Kajiandae' wiki kadhaa zilizopita alifunguka na kusema ikifika wakati ataweka wazi suala la mahusiano yake kwa jamii, na kumuweka wazi...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Walioleta neno mubashara, ni waharibifu wa lugha wanaoiga wakongo, ndio hawa wanaosema Muke ya mimi. Ukitamka neno hilo mbele yangu nakunasa kibao....
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanabodi hasa wapenzi wa kipindi cha Bolingo time, muda huu naona Zuberi wa RFA yuko hewani anaweka mipini ya JB mpiana. Ameanza na 48Heures Gecoco,sasa kaweka Feux d' La Amour. Swali je huyu...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Mashabiki wa soka nchini wamevitaka vilabu kuwafanyia vipimo vya afya awachezaji wao mara kwa mara.Vile vile wamewasihi wachezaji nao wawe na tabia ya kuangalia afya zao mara kwa mara. Hivi...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Jamaaaani eeeh nimetafuta sana kwa zaidi ya miezi 6 sasa hapa ma game sijapata.. Nisaidienieni tafadhali kwa mwenye nalo,mwenye link ya kudownload.... Hata kwa kununua pia nipo tayari... Maana...
0 Reactions
4 Replies
886 Views
Nimekuwa nikimfutialia sana msanii huyu na kugundua kuwa ni miongoni mwa wasanii wenye kipaji kikubwa sana cha kuimba na kama ataendelea kufanya hivi basi hapo baadae huenda akaja kuwa miongoni...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
ALI KIBA NI KUTWA MARA TATU... Ukimfunika kukata mauno atakushinda kutunga. Ukimfunika umaarufu atakutesa kwa sauti. Ukimsumbua kuhonga media yeye atakuumiza kwa kutojisumbua na hizo media. Ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau kwema?? Asubuhi hii nimesikia remix ya wimbo "Utaoa Lini" wa Mwana-FA. Remix hii imefanywa na Mtangazaji Tupatupa wa Clouds TV ambapo yeye amezungumzia kuhusu timu ya Manchester United, kua...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom