Do you mind

Do you mind

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,669
Reaction score
30,839
Hivi hii nyimbo ya do you mind ya DJ Khalid na wasanii kibao mbona ni crazy!!!!
Nick minaji kweli unavaa hivi ujue Mungu anakuonaaaaa.
 
Do you mind if kiss you......if i touch you.....Call me Bell
 
Screenshot_2017-03-07-18-53-48.png

Screenshot_2017-03-07-18-53-36.png
Screenshot_2017-03-07-18-53-29.png

Screenshot_2017-03-07-18-48-59.png

Sijui unamaanisha zipi Ila kama ni hizi mbona hata Kwa kina gigy money anapelea
 
Ndo hizi Mkuu daa,ni shida
 
Wasanii Weupe wataendelea kuwashinda watu weusi popote pale duniani.
Weusi huwa tuna kawaida ya kusahau tulipotoka jambo ambalo siyo zuri kabisa.
Leo hii ukilinganisha Muziki wa Weusi miaka ya 70's na 80's utaona kuna utofauti mkubwa sana.

Zamani ilikuwa ni rahisi sana kwa watu wa kada, rangi, dini na tamaduni zote kusikiliza muziki kama HipHop, lakini leo huwezi kusikiliza hata mbele ya wazee, Aibu tupu. Halafu leo wanataka Grammy wakati nyimbo zao zinazozungumzia Mihadarati, Ngono na Ujinga mwingine zinazikilizwa na vijana tu.
Please give me Break....................

tamuuuuu
 
Back
Top Bottom