Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya Verse 1: Unachokipanda leo ndicho utachovuna kesho. Imeandikwa Mwanaume kula kwa jasho. Najiuliza hivi ni nani kaiona...
13 Reactions
347 Replies
69K Views
me, I can't without Jesus. [emoji5]
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Jamani huu wimbo nimeukubali sana ila mwenye kuuelewa vizuri Naomba kujua nn anamaanisha coz nimeupenda bila kuulewa
0 Reactions
1 Replies
632 Views
List za ngoma zinazopanda na kushuka tz kila wiki.... 10: Rayvan-kijuso 09: Young killer- sinaga swaga 08: Madee-hela 07: Nandi ft chege- kelele za chura 06: Ben paul- phone 05: Chege &temba - go...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Kazi yako ya Nisaide kushare imesimama sana bro, hongera sana. Umeonesha kwamba wewe ni mkongwe katika hip hop, huyumbi na hugeuki. Kaa hata mwaka mzima lakini ukija kurealese unafanya ile kitu...
0 Reactions
1 Replies
653 Views
SEHEMU YA PILI. Miaka mitatu tu tangu Raisi atoke Syria lakini malalamiko yalikuwa mengi sana wengi walisema Raisi Nobert amebadilika sana amewageuka wapiga kura wake wakiwa hawajui kuwa Yule si...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
nigerian wanatuacha mbali sana
0 Reactions
5 Replies
848 Views
Huyu mtu mfupi, rapa wa msondo amesha wafundisha kazi warithi wake ?
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Habar wadau, aic chang'ombe ni moja ya kwaya ya nymbo za injil ambayo albam zake tatu zilizopita zinafanya vizur sokon had leo 1.VUNJA 2.GUSA(2006) 3.MPINGA KRISTO(2009) naulze je wametoa...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Toka nitazame movie za adventure,lord of the ring na HOBBIT NI ADVENTURE MATATA KWELI.TUAMBIZANE NYINGINE
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Timu yetu Arsenal! Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji... -Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa -Kim Kardashian alikuwa bikra -Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa Tandale -Nick Minaj alikuwa flat...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye wimbo wa Salam Nimpe nani uliopigwa miaka ya nyuma na WESTERN JAZZ BAND. ===== Wimbo: Salaam Nimpe Nani...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Hebu sikiliza kwa makini hii kitu, then kumbuka ulikuwa wapi enzi hizo. acha kabisa haya mambo.
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Mwaka jana muziki wa singeli muziki ulioibuka kutoka uswahilini na kutapakaa nchi nzima ghafla na kutishia mustakhabari wa muziki wa bongo fleva hasa hip hop sasa umefikia mwisho Kama aina ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Akiongea na waandishi wa habari mwenyekiti wa maandalizi ya team ya serengeti boys kasema wimbo utakao tumiwa kutoa hamasa kwa timu ya serengeti boys umeimbwa na wasanii kadhaa wakiwamo diamond...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana JF, Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kama maada inavyojieleza hapo juu, ninaomba mwongozo kwa yeyote anayefahamu mamlaka ambazo inabidi kuzitembelea ili kupata vibali...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps...
0 Reactions
6 Replies
918 Views
Wadau nimeusikiliza leo kwa mara ya kwanza huu wimbo wa huyu jamaa, Ki ukweli ni booonge la wimbo na Jamaa atapata show nyingi sana kwa huu wimbo ila sielewi maudhui yae hasa ni nini. Inasemekana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom