MSAADA: Go Live inazingua

Blessed Jr

Senior Member
Nov 17, 2016
134
235
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps inakubali, msaada tafadhali
3820d46c0b59f69ee6f30f5dbf618668.jpg
 
Back
Top Bottom