Hip Hop na siasa za Tanzania

KAGAMEE

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
3,880
4,508
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA, KALA JEREMIAH. Lakin kuna tetesi kwamba hawa washapata warning ya mzee wa CHATO tena strong warning.

Maana siyo rahisi hawa wazalendo kukaa kimya hata issue ya vyeti feki vya Bashite
 
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA, KALA JEREMIAH. Lakin kuna tetesi kwamba hawa washapata warning ya mzee wa CHATO tena strong warning.

....hao uliowataja mkuuu siyo wasanii wa nchi hii mkuu ukumbuke na hilo pia

Maana siyo rahisi hawa wazalendo kukaa kimya hata issue ya vyeti feki vya Bashite
 
Street life
Wanangu wa kitaani mnanisomaaaaa
Street life
wanangu wa kitaani mnanisomaaaaa ×2

Na weee mzeee
Usimsahau mchizi ROMA
usimsahau mchizi ROMA


Hiyo ndiyo track iliyopo mezani mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom