Hip Hop na siasa za Tanzania

Hip Hop na siasa za Tanzania

ANT DRUGS

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
5,460
Reaction score
6,822
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA, KALA JEREMIAH. Lakin kuna tetesi kwamba hawa washapata warning ya mzee wa CHATO tena strong warning.

Maana siyo rahisi hawa wazalendo kukaa kimya hata issue ya vyeti feki vya Bashite
 
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA, KALA JEREMIAH. Lakin kuna tetesi kwamba hawa washapata warning ya mzee wa CHATO tena strong warning.

....hao uliowataja mkuuu siyo wasanii wa nchi hii mkuu ukumbuke na hilo pia

Maana siyo rahisi hawa wazalendo kukaa kimya hata issue ya vyeti feki vya Bashite
 
Street life
Wanangu wa kitaani mnanisomaaaaa
Street life
wanangu wa kitaani mnanisomaaaaa ×2

Na weee mzeee
Usimsahau mchizi ROMA
usimsahau mchizi ROMA
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]♩[emoji445][emoji445][emoji445]

Hiyo ndiyo track iliyopo mezani mkuu.
 
Back
Top Bottom