Aiseee ndo nipo naichek hii movie hapa......
Yan ni tatizo!!!!!!!!!Nimeshika remote,basi hapa home wanatamani wanipige.maana kila muda nurudisha nyuma kuangalia tena balaa analofanya!!!!!
Ndo...
Tembelea YouTube channel yetu kwaajili ya mafunzo ya Color correction na Color grading kwa kiswahili na kwa njia rahisi kabisa
Fungua App ya YouTube.
Search Creator pro5
Hello guys hivi karibuni nitaanza kutoa masomo yahusuyo color correction n color grading kwa watu wanao jihusisha na mambo ya video production n graphics design
kuna wimbo unaitwa kitu na box wa abdul misaambano na ule wa issa matona anaimba nilidhani mimi chanda na wewe pete yangu...
Naombeni mnisaidie tafadhali manake nimezitafuta muda mrefu sijazipata
Wakuu kwa mimi hawa ndio wabaya wa chorus bongo kuanzia wa kwanza mpaka wa 5
1. Sir Nature - msitu wa vina
2. Belle 9
3. Chege Chigunda
4. TID
5. Q Chilla/ Q Chief
Nakumbuka nilikuwa chuo nasoma sikukaa mabibo hostel nilipanga room mtaani, siku moja jumapili a msichana toka mzumbe university alikuja home kipindi hicho alikuwa mpenzi wangu. Akaniambia huna...
Habari za jioni
wakuu kwa wale wapenzi wa tamthilia ya queen of the south leo usiku inaendelea tena hivyo msikose kufuatilia......camila ataweza kumpiku mumewe kwa kumiliki genge kubwa la madawa...
Amefariki leo hii katika hospitali ya Muhimbili DSM alikopelekwa jana kwa ajili ya Matibabu akitokea Newala.(Mtwara) Atakumbukwa sana hasa kwa Wimbo wake “Kila Munu avena kwao” Kila mtu ana kwao.
Wadau nasikiliza kituo kimoja cha dini ya kikristo wanapiga nyimbo za Bongo Flavour zenye meseji za Gospel ndani yake.Hakika huyu DJ ni mbunifu sijapata kuona .
Baadhi nilizozisikia hadi sasa ni...
Toka muziki wa kizazi kipya ushike chart hapa nchini kumetokea wasanii lukuki waliojitahidi kuonesha uwezo wao!!
Chorus nyingi zimeimbwa iwe katika nyimbo za wasanii husika ama zile za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.