mackie
Senior Member
- Jan 26, 2017
- 141
- 197
kuna uhusiano gani kati ya hizo channel zinazocheza nyimbo zilizopo katika billboard chart ( music on chart) kupiga nyimbo kwa upendeleo mkubwa nyimbo za nigeria zaidi..??
kwa mfano kama una king'amuzi cha startimes kuna channel kmaa st music inayopiga nyimbo za dunia zilizopo latika top chart lakini kwanini wanapendelea nyimbo za nigeria zaidi wakati wa Afromusic playlist..??
kuna uhusiano gani wa channel hizo kubwa kubase na nigeria zaidi ..na hata ikipiga nyimbo aparty from nigeria bas utakuta wimbo wa bongo unapigwa mara moja kwa mwezi au mara moja kwa wiki...
je hii ni kutokana na nyimbo za bongo kukosa radha au bei ya kuzizipiga inakuwa kubwa ...??
naomba wataalum wa hii kitu mnipe ufafanuzi juu ya channel hizo na kuplay most time nyimbo za nigeria zaidi
kwa mfano kama una king'amuzi cha startimes kuna channel kmaa st music inayopiga nyimbo za dunia zilizopo latika top chart lakini kwanini wanapendelea nyimbo za nigeria zaidi wakati wa Afromusic playlist..??
kuna uhusiano gani wa channel hizo kubwa kubase na nigeria zaidi ..na hata ikipiga nyimbo aparty from nigeria bas utakuta wimbo wa bongo unapigwa mara moja kwa mwezi au mara moja kwa wiki...
je hii ni kutokana na nyimbo za bongo kukosa radha au bei ya kuzizipiga inakuwa kubwa ...??
naomba wataalum wa hii kitu mnipe ufafanuzi juu ya channel hizo na kuplay most time nyimbo za nigeria zaidi