Huu wimbo utata mtupu!!

Huu wimbo utata mtupu!!

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,765
Hivi kwenye wimbo "chambua kama karanga" Saida Karoli anazungumzia mapenzi mubashara kati ya Halid na Philemon, na kuwataka wenye wivu wakitundike kitanzini. Hii kitu imekaaje!?

 
Nausikiaga saana mkuu ila leo, Mhhh umenifungua mawazo yangu. Sikuwahi usikiliza kihivyo. Aksante mkuu. Haya huyu mama akuje huku aufafanue isijekuwa anamsifia bwabwa flan hivi
 
Ati?[emoji15] kwahio RC na Prezii wanapendana mubashara[emoji1] [emoji1] [emoji111]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Subiri wanakuja kutoka Bukoba kuja kukujibu mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?
Shangaa na wewe mamy ujue ndio nilichochekea wimbo tushausahau miaka imepita [emoji28][emoji28]
cheka mwaya uongeze siku..[emoji23]
 
Juzi kati alihojiwa kuhusu hilo,akajibu,ilitakiwa iwe philemonia,ambalo ni jina la kike,ila wakati wa kuimba likaleta shida,ko walifupisha ili asitoke nje ya mpangilio.
Kwanini asingeweka jina lingine la kike linaloendana na hilo?
 
f94e288c502e29b4ba2aa27ec655787e.jpg

Kama Hawa au
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?
Lakini hawezi amini wengi walizingatia beat zaidi kuliko maneno
 
Back
Top Bottom