cheka mwaya uongeze siku..[emoji23]Nimecheka sana jamaan kweli maisha magumu [emoji23][emoji23] anko magu legeza kidogo
Shangaa na wewe mamy ujue ndio nilichochekea wimbo tushausahau miaka imepita [emoji28][emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?
cheka mwaya uongeze siku..[emoji23]
Kwanini asingeweka jina lingine la kike linaloendana na hilo?Juzi kati alihojiwa kuhusu hilo,akajibu,ilitakiwa iwe philemonia,ambalo ni jina la kike,ila wakati wa kuimba likaleta shida,ko walifupisha ili asitoke nje ya mpangilio.
Hapo sielewi...Kwanini asingeweka jina lingine la kike linaloendana na hilo?
15[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?
lakini nawe piq ulikua unauimba hivohivo na kuucheza enzi hizo....Shangaa na wewe mamy ujue ndio nilichochekea wimbo tushausahau miaka imepita [emoji28][emoji28]
Ndiwooo halid na philemon walipendana sanaaaalakini nawe piq ulikua unauimba hivohivo na kuucheza enzi hizo....
halid na Philemon[emoji85] [emoji38] [emoji87]
Lakini hawezi amini wengi walizingatia beat zaidi kuliko maneno[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
wimbo una miaka mingapi hivi tangu utolewe?