Kujua kuhusu uwepo wa chess club dar

Kujua kuhusu uwepo wa chess club dar

Kasanjo

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
60
Reaction score
28
Kwa Tanzania chess ni mchezo mchanga sana na cjawah pita sehem nkaona watu wakicheza ,so probably kama upo utakua haujafanyiwa advertisement yakutosha like other games kama draft ambao kuna mashindano ad kimkoa...Mimi nataka kujoin kwny chess club niparticipate kwny competitions zao so if anyone knows anythn helpful on dis baas naomba anisaidie....
 
Kwa Tanzania chess ni mchezo mchanga sana na cjawah pita sehem nkaona watu wakicheza ,so probably kama upo utakua haujafanyiwa advertisement yakutosha like other games kama draft ambao kuna mashindano ad kimkoa...Mimi nataka kujoin kwny chess club niparticipate kwny competitions zao so if anyone knows anythn helpful on dis baas naomba anisaidie....
Huo mchezo unachezwaje hivi??
 
Kama draft ila more complex ,akili inatumika zaidi coz...Ni mchezo ambao kila mmoja anadefend king wake...Ukimuua king wa mwenzio unashinda sio rais kuelezea mpaka ugoogle uone
 
Back
Top Bottom