Kwanza ningeomba Mods msiunganishe huu uzi Na mwingine!
Nimetizama show ya Diamond na wenzake huko Gabon, mliotazama mtakubariana nami Wasanii wote 3 kila mtu alikua na Bendera kuwakilisha nchi...
Habari wapendwa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Muimbaji wa nyimbo za kizazi kipya na pia naweza kiasi kuuandaa.(Producer).
Dhumuni la kuja mbele yenu waungwana, ni kuomba msaada wenu...
Kuna ngoma hata ipite miaka kumi lakini ukaisikia leo hii unahisi kama imetoka leo kwa jinsi inavyokonga moyo wako.
NA HIZI NDIO ZANGU KUMI.
10.Ali kiba - Mac Muga
Huu wimbo umenifunza mengi...
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I’M SORRY JK/
Lyrics:1
I’m sorry JK nimeona tu niseme/
Mzuka huu niliupata...
Ikiwa leo ni fainali ya mashindano haya. Washiriki wapo 6, anahitajika mshindi mmoja atakayeibuka na kitita cha shilingi milioni 50 Usiku huu.
==============
Mchuano umeanza, ushindani mkali sana...
Habari za jioni wanaJF, Nitangulie kumshukuru Mungu kwa siku ya leo.
Na ninamshukuru kunipa nguvu hadi kuwaangalia Zimbabwe wanavyomtesa bingwa wa jangwa(Algeria).
Kwa mkiki wanaoupata Desert...
Napenda movie za aina hiii hua zinanifurahisha sana nyingine ni Merlin hawa watu wanajua kuigiza kiukweli,pia story zao tamu balaa,,kwa aliewah kuziona hizi movie anajua namaanisha nini,sasa hawa...
Hello people kama Kuna mtu yupo dar atapenda tu exchange series na movie anicheki Nina series nyingi za kikorea na English series na nyinginezo
Example-scandle
Intelligence
Mettador
The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.