Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana...
Wapenzi wa rnb Leo nilikuwa nikiangalia bahadhi ya tracks za zamani za rnb. Sasa nilipokuwa naangalia hii track ya Boyz ii men hasa sehemu aliyoimba Wanya kuanzia dakika ya 3:25, si kwamba...
Mke alimuaga mumewe anaenda kumsalimia mama yake mgonjwa kijijini. Akaondoka Ijumaa na kurudi Jumatatu na matunda kibao na vyakula vingine toka kijijini akisema ni mama kanipa kwa ajili yako mume...
Akihojiwa katika kipindi cha michezo cha Sports Extra kinachorushwa na Clouds fm Victor Wanyama Anayekipiga na timu ya Totenham Hotspots ya uingereza amesema amewahi kucheza michuano ya mitaani ya...
Ni movie gani enzi hizo ulikua hutaki kuangalia kwasababu ilikua inakutisha lakini sasa hivi unaona ni upuuzi tu.
Mimi binafsi ni ile ya Insyuka yani nilikua nikiiona sitembei pekee yangu gizani...
naomba ni declare kwamba mm ni shabiki lialia wa mwanamziki nguli nchini diamond platinium ..kuanzi mbagala,nenda kamwambie,moyo wangu,nataka kulewa,kitoronto,..nimekuwa die fan wake...ila thatha...
Wapo watoto ambao hupenda kuiga kila kitu ambacho mzazi anakifanya.Siku izi wapo watoto wana kunywa pombe na wengine kuvuta sigara kwa kuwaiga wazazi.
Mfano mzuri yupo Mtoto wa jirani huwa...
Ngoja tuupe muda huu wimbo huenda nikauelewa,
ila kwasasa nadhani umeimbwa chini ya kiwango,
vilevile producer ameboronga sana kwenye masuala ya beat
Yaani Diamond kwasasa hapaswi kumtegemea...
Waungwana kuna mipini nime-attach hapo ya 90's quality yake sio nzuri sana lakini inasikika
Kama kuna mtu anazo zenye quality nzuri aweke humu jamvini
1.DPG-Rudi Mpenzi---1999
2.Afro reign ft...
Wakuu habari za jumapili
Mimi ni mpenzi sana wa nyimbo za zamani. Nyimbo zozote zile za zamani kuanzia Kwaya, Blues, Ndombolo, Reggae, Kwaito n.k
Nimefanikiwa kupata nyimbo nyingi sana isipokuwa...
Wakuu wa burudani natafuta movies mpyaaa za 2017,movies kali kali ambazo ni full hd, ziwe series au hata single zoote naziitaji... (PB season 5 isikosekane)... Nipo dar kwasasa mpaka alhamis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.