Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jamani kama kuna mtu mwenye video ya wimbo mpya wa saida (ORUGAMBO) naomba haiweke tafadhari
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!! Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Mwenye movies series please naombe anisaidie series aina yoyote ile, au ata movie ya kawaida tukutane tubadilishane. Niko _Mbeya
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu salama. Wakuu ombi la msaada jinsi ya kuweza kudownload games za PES kwwnye websits. Naomba mwenye link masaada kdg
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hiv mwenye kujua turbo payout inafanya kazi vipi naomba atiririke hapa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapenzi wa rnb Leo nilikuwa nikiangalia bahadhi ya tracks za zamani za rnb. Sasa nilipokuwa naangalia hii track ya Boyz ii men hasa sehemu aliyoimba Wanya kuanzia dakika ya 3:25, si kwamba...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwangu hii ndiyo cypher kali. Oxido, KP na baba yako walitisha.
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Mke alimuaga mumewe anaenda kumsalimia mama yake mgonjwa kijijini. Akaondoka Ijumaa na kurudi Jumatatu na matunda kibao na vyakula vingine toka kijijini akisema ni mama kanipa kwa ajili yako mume...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Akihojiwa katika kipindi cha michezo cha Sports Extra kinachorushwa na Clouds fm Victor Wanyama Anayekipiga na timu ya Totenham Hotspots ya uingereza amesema amewahi kucheza michuano ya mitaani ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni movie gani enzi hizo ulikua hutaki kuangalia kwasababu ilikua inakutisha lakini sasa hivi unaona ni upuuzi tu. Mimi binafsi ni ile ya Insyuka yani nilikua nikiiona sitembei pekee yangu gizani...
0 Reactions
109 Replies
13K Views
naomba ni declare kwamba mm ni shabiki lialia wa mwanamziki nguli nchini diamond platinium ..kuanzi mbagala,nenda kamwambie,moyo wangu,nataka kulewa,kitoronto,..nimekuwa die fan wake...ila thatha...
7 Reactions
74 Replies
8K Views
SECOND VIDEO FIRE: Diamond Ft Tiwa Savage...
5 Reactions
81 Replies
17K Views
Wapo watoto ambao hupenda kuiga kila kitu ambacho mzazi anakifanya.Siku izi wapo watoto wana kunywa pombe na wengine kuvuta sigara kwa kuwaiga wazazi. Mfano mzuri yupo Mtoto wa jirani huwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ngoja tuupe muda huu wimbo huenda nikauelewa, ila kwasasa nadhani umeimbwa chini ya kiwango, vilevile producer ameboronga sana kwenye masuala ya beat Yaani Diamond kwasasa hapaswi kumtegemea...
5 Reactions
91 Replies
29K Views
Waungwana kuna mipini nime-attach hapo ya 90's quality yake sio nzuri sana lakini inasikika Kama kuna mtu anazo zenye quality nzuri aweke humu jamvini 1.DPG-Rudi Mpenzi---1999 2.Afro reign ft...
9 Reactions
23 Replies
13K Views
Nyimbo yenyewe nimeona e tv ya kizungu jamaa mtu wa pombe demu wake anaolewa kanisani wanamzuia gari iliyombeba demu wake ikiondoka anaikimbiza
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mada yahusika! Naomba mwenye huo wimbo anisaidie!
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu habari za jumapili Mimi ni mpenzi sana wa nyimbo za zamani. Nyimbo zozote zile za zamani kuanzia Kwaya, Blues, Ndombolo, Reggae, Kwaito n.k Nimefanikiwa kupata nyimbo nyingi sana isipokuwa...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu wa burudani natafuta movies mpyaaa za 2017,movies kali kali ambazo ni full hd, ziwe series au hata single zoote naziitaji... (PB season 5 isikosekane)... Nipo dar kwasasa mpaka alhamis...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom