Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wasalaam, Movie hii inaitwa THE DARK KNIGHT. Ilitoka mwaka 2008. Movie hii ili-gross USD 1 BILION (TSH TRILIONI 2.3). Kwa kweli Ni moja ya movie yenye SCRIPT Kali Sana. Hii Ni movie ya ACTION...
1 Reactions
46 Replies
8K Views
Nimeisikiliza hit mpya ya Diamond! Ni bonge la ngoma kwa club. Alichokosea ni kuwataja wanasiasa ambao leo au kesho wanaweza wakapotea kwenye ramani na tukawasahau kabisa Ingekuwa vizurii...
6 Reactions
33 Replies
6K Views
Wakuu amani iwe pamoja nanyi!! I hope wote tuwazima wa afya tele!! Kama heading inavyojieleza hapo juu Tanzania imejaariwa kuwa na media nyingi sana,na kuna baadhi ya media house zili-dominate...
8 Reactions
72 Replies
10K Views
Business as usual, but also data never lie! Ni taarifa ya mkanganyiko na jamii imejigawa katika pande mbili kubwa. Moja likisema ana huo uwezo ila anatafuta tu public sympathy. La pili ni kundi...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Jina la Movie: SALT Main Actress: Angelina Jolie Evalyne Salt (Highly Trained) A Russian spy working as CIA. Akiwa na Mission (DAY X) ya kufake kumuua Rais wa russia atakapokuja kuhudhulia...
17 Reactions
197 Replies
51K Views
O timbi na timbeli yo! Ukiniheshimu ntakuheshimu Yuma no kaka ts ( INNNOSS) Mpuuzi wako ( innos) Zoba no kaka ts Ujinga wako Hein yuma no kaka ts Kwa ujinga uliopitiliza Djizo! djizo O...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mchezaji wa zamani wa Simba SC na pia mchezaji wa Genk jana alifanikiwa kuifungia bao pekee la timu yake dhidi ya liverpool ya akina salah, mane van djik, firminho, clopp etc. Mchezaji huyo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
NI Headlines za msanii kutoka Bongo Flevani, Juma Jux ambae kwasasa yuko nchini Kenya Nairobi kwaajili ya kuitambulisha album yake mpya.....habari kamili bonyeza link ===== NI Headlines za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
GOBA DRC: Hali ya hewa ilikuwa metulia,si ndege wa usiku au wadudu waliokuwa wakisikika,haijulikani kwanini kulikuwa na hali Kama hiyo usiku mnene namna ile ambao ni lazima kuzisikia sauti zao...
12 Reactions
312 Replies
79K Views
RIWAYA; DOA LA VIPEPEO NA; BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660. -----1----- Ulikuwa ni muda sahihi kwa kila mmoja kurejea nyumbani, muda ambao jua lilikuwa limeanza kuiacha Mashariki yake...
9 Reactions
43 Replies
13K Views
RIWAYA; MTUMWA NA; BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 RIWAYA ZILIZOTANGULIA.. • MPANGO WA CONGO • KIKOSI CHA PILI • URITHI WA GAIDI • DAKIKA ZA MWISHO • OPERESHENI KuKu • OPERESHENI JICHO...
7 Reactions
34 Replies
11K Views
Mbwana Samatta aliyewahi kuichezea Simba aweka historia ambayo haijawekwa Afrika Mashariki na Kati. Aifunga Liverpool. Liverpool ambayo kwa sasa ndio Club Bora Ulaya na Duniani. Yaani hata Club...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani kuna zile nyimbo za kukaribisha sikukuu za Christimas na Mwaka mpya (Marry christimas and New year) yaani nazipenda sana na ukicheck mda wake ndo huu unaingia, mwaka upo ukingoni.. So...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Siku hizi mziki vijana kama hawafaidi kabisa. Tofauti na zamani miaka ya 2000's tunaenda disco, mnaburudika mwanzo, mwisho. Mnacheza kweli unarudi home umeburudika vya kutosha. Naangalia fiesta...
12 Reactions
55 Replies
5K Views
Hii Chelsea itakuja kuuwa watu jamani haya kipaji kingne hicho huyu dogo anaitwa Reece James sio yule James wa kule unyumbuni asiejuwa mpira huyu ni James mwenye kipaj chake ambae kazaliwa kucheza...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Yope! Uzi tayari
1 Reactions
0 Replies
597 Views
Tuimbe sote, hii hapa video
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wanaJF leo August 13 ni siku ya kuzaliwa wa mwanamuziki Fid Q basi jamaa ameamua kuachia wimbo mpya unaoitwa "Bongo Hip Hop" ukipata nafasi itafute jamaa amechana kwa kiwango ba Majani...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom