Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau mambo Vipi? Nawasalimu wote na Poleni kwa Pilika za hapa na pale za kuusaka utamu wa Ugali na maisha Ahueni. Imekua kitambo sana tangu niondoke hapa Jf (Kiukweli nilipakumbuka Jf). Leo...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Ukiangalia katika semina zake huyu mtumishi hua kuna tunyimbo tuzuri sana anatuimba twa kipekee, kama ''KWA IMANI TUTASHINDA'' ..''OHH SAYUNI SAYUNI'' N.K Kama kuna mwenye hutu tunyimbo tuzuri...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
Naomba kujuzwa ghalama ya chumba cha kupanga 'self contained room'. Kodi ya Frem ya biashara mtaa wenye mzunguko wa fedha. Nataka nihamie huko ko nategemea ushirikiano wa mnaojua hayo maombi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeukumbuka huo wimbo wa Wazulu walati wanapambana na Makubulu kule South Africa. Ni wimbo mzuri sana huo wa kupambana na Makabulu mambo leo.
0 Reactions
5 Replies
944 Views
Kwa wale wote wanaofuatilia tamthilia hii pendwa ningependa kufahamu, ni ujumbe gani muandaaji anataka kufikisha kwa jamii?
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Hallo, How is everyone in here? I hope mko poa ndugu zangu watanzania. Leo nafuraha sana, maana ndio kwa mara ya kwanza kushuhudia concert za wasanii wa ndani. I'm enjoying for sure! Kama kuna...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Nikiangalia hizi show wanazotoa hapa Wasafi Tv kwenye Wasafi Festival nachoka kabisa. Wanachoweza wao ni kupiga makelele, kuwasumbua watu wanyanyue mikono juu na kuuza sura na makalio.
6 Reactions
28 Replies
3K Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna nyimbo nyingi mno miaka ya karibuni ambazo ni maarufu kupita kiasi ingawa hazikuwahi kupewa airtime na Clouds FM. Inashangaza mno. Hivi wimbo unawezaje kuwa maarufu bila kusikika kwenye...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nashangaa watu wana-diss kwamba fulani katoa wimbo mbaya and blah blah! Kwa upande wangu kama wimbo siupendi siyo kigezo kwamba ni mbaya, kila mtu ana mapenzi yake ndiyo maana binadamu...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Kwa wale wadau wa game ya 8 ball poll tukutane hapa. Tuonyeshane uwezo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nitajie nyimbo zako tatu za RnB za Muda wote. Mimi za kwangu 1. Stay - Rihana 2. New Flame - Chris Brown 3. Cry me a river - Justin Timberlake
2 Reactions
6 Replies
5K Views
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi, leo wameingia na msemo wao "Inaanza kitchen party, ikifuatiwa na harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nani katisha? Tiririsha maoni yako hapa
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza ************************************ 1. Katika Viumbe Vyote 2. Mmoja wa Wanasheria 3. Mtu Ajaribiwapo 4. Mtu Mkubwa Mmoja 5. Neno...
25 Reactions
79 Replies
39K Views
Ali kiba video is out (mshumaa)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa riwaya za Kudo. Mliokuwa mnanunua kila mara na mara ya mwisho, mliahidiwa ofa na hamkupata.. Tafadhalini, nitext whatsapp 0658564341. Simu yangu iliibwa, hivyo nimepoteza...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtunzi: Washawasha Mambo zenu,natumai muwazima wote,binafsi niko poa ila hapa nilipo ni joto la kufa mtu. Leo nimeamua niwahadithie kidogo kipindi niko kigoli,ni stori ambayo nimekaa nayo kwa...
0 Reactions
6 Replies
30K Views
Wadau Najiuliza ni mtangazaji gani aliyetafsiri filamu ya Yesu (Jesus Movie 1979) kwa lugha ya Kiswahili. Wengine wanamtaja Salim Kikeke,wengine wanadai ni mtangazaji kutoka Kenya. Mwenye uelewa...
1 Reactions
42 Replies
16K Views
Back
Top Bottom