Nyimbo za Diamond wa sasa ni takataka tupu na ndio zimepata wafuasi (siyo true fans wa muziki) wengi, maajabu. Nimelinganisha na nyimbo za Chege, huyu bwana ni mwanamziki. Anaimba muziki haswa...
Kuna movie nacheki hapa ni zaidi ya uwongo yaani hata mtoto mdogo humdanganyi hivi.
Tujuzane movie zenye uwongo ulioptiliza kama si kutukuka.
1.Mission Impossible 4 na 5
2.Spectre ya James Bond...
Moja ya vitu ninavyopenda ninaposhika kifaa chenye Internet access ni kustream videos mbalimbali kupitia Youtube.
Kuna maelfu ya channels ambazo hutoa videos zenye kugusa mambo mbalimbali kwanzia...
Habari wandugu, natafuta Album ya Kijitonyama Upendo Group inayoitwa Maisha yako, madame Hasa Kama kuna mpendwa anao wimbo huu wa Maisha yako nauhitaji kwa whatsapp 0717246284 Asante
I have been listening to this album over and over again, I saw some of threads talking about it in a very very positive way, appreciate that, this album has 31+ songs and none of them is below 3...
Aug 1 2013 mwigizaji staa Irene Uwoya alitangaza kupitia millardayo.com kwamba wiki ijayo Jumanne saa tatu na nusu usiku ataanza kuonekana kwenye show yake mpya ya TV.
Ni show ambayo Watanzania...
Tng squad imerudi tena katika tasnia ya muziki Tanzania, kama una kumbu kumbu nzuri walifanya vizuri na ngoma kaa ring on it baada ya bongo.com kabla ya kundi kuvunjika kwa sababu mbalimbali, kama...
Habari zenu humu,
WanaJF, kuna movie moja ya kitambo hivi kidogo imechezwa Marekani, kuna mtu mmoja mfupi alikua anafanya mauaji ya watu. Huyu mtu hata akipigwa risasi alikuwa hafi lakini baadaye...
Ngoma yenu ni Kali nimependa dullysykes unaonesha bado bado upo Sana kweny game na pia nimependa corus Kali ya lavalava.
Hadi sasa hiv ngoma zangu Kali za sasa ni hizi
1.mauasama niteke
2.mario...
Kuna Msanii anajiita Mwijaku amekuwa anaonekana sana Instagram, vipi mbona toka itokee skendo ya Menina ya kusambaa kwa picha za utupu haonekani? Nini kimemsibu Msanii Mwijaku?
Habari,
Kama heading inavyosema, naombeni kuujua huu wimbo ameuimba nani. Wimbo umeimbwa kwa lafudhi ya Kisukuma, wanaimba: "Kimone mwana masanja ntakununulia cheni gold hutaweka vyombo kwenye...
I remember I called mama
on the telephone,
I told mama am getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling....
And she asked me a question
That I...
[Verse 1]
What I fit do to get your love
Girl I don give you all I got but it’s not enough for you
Shey u fire me catapult of love
Na why be say I no fit get enough of you
[Hook/Chorus]
Wetin...
Msanii maarufu Harmonize leo amehojiwa na binafsi jamaa inaonesha amekua kimuziki maana ametema madini hatare pasipo kuonesha chuki kwa upande wowote ule, hata pale alipokulia kimuziki (WCB)...
Licha ya harmonize kujitoa katika label kubwa ya mziki nchini Tanzania WCB lakin bado nguri wa mziki Tanzania Diamond anaendelea kupiga pesa kupitia kondeboy kwani hata youtube channel bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.