Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mbunge Joseph Mbilinyi 'SUGU' akitoa Burudani ktk hafla ya Wabunge wa CHADEMA ya kumpongeza Halima Mdee baada ya kumaliza adhabu ya kutohudhuria Mikutano miwili ya Bunge, Mdee alisimamishwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu jamaa mbwembe zote hizi kumbe kakopy na kupest wimbo huo,ingia u tube andika jina la wimbo "soapy" wa Naira Manley ucheke, kwani mi nimecheka sana sikutegemea kuona Mondi kufanya hivyo.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mtunzi; Washawasha Mambo zenu,mi Niko poa kabisa,kwa jina naitwa Maria Rosa,mwenyeji wa mkoa wa Mbeya lakini kwa sasa naishi Dar es salaam,nina miaka 31,leo nitawahadithia zawadi ambayo Mume...
3 Reactions
17 Replies
11K Views
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
16 Reactions
155 Replies
29K Views
Wakuu dude linatoka tarehe 25 December Kunawakali kibao Kama. DONNIE YEN SCOTT ADKINS VANESS WU JIM LIU KENT CHENG NICOLA STUART JASON REDSHAW YEU WU
0 Reactions
3 Replies
898 Views
Kuna haya makundi yalichuana saana kwa sababu aina ya uimbaji wao ulifanana. Waliuteka sana ulimwengu wa muziki hasa wadada ndo walipenda sana nyimbo japo na wanaume na tulikuwepo kuwasindikiza...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Kiufupi nianze tu kwa kusema watu wengi sio waumini saaaana wa aina ya muziki anaoufanya msanii Lavalava. Kwa muda mrefu sasa style yake ya uimbaji imekuwa haiendani kabisa na aina ya muziki...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa yeyote anaeweza kuniorodheshia nyimbo hizo za kingereza anaimba binti mmoja hivi sijui aitwa lliiwine. Asee anaimbaga nyimbo zake zinasikilizwaga mara nyingi usiku mkiwa kwa kitandani...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naongelea ngoma mpya ya msanii machachali wa bongo fleva Diamond Platnumz ...Baba lao Binafsi naona hii ngoma sio nzuri kabisa nikiweka pembeni ushabiki Sasa swali linakuja kwenu mnaoujia mziki...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwenye comment tuache story za kuponda au kusifia, wewe weka jina la mkali wako hapo kisha tutahesabu kura. Unaandika mara moja tu kuliko kurudia rudia. Kura yangu ni kwa: Harmonize - Uno
3 Reactions
163 Replies
23K Views
Kama mfuatiliaji wa muziki wa bongo kuna vitu tunakubaliana kuwa Kiba na Harnonize kwa nyakati tofauti wamenufaika sana na uwepo wa Dai. Alikiba amekuwa mshindanishwa wa Diamond kwa muda mrefu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wale team sumbula , team gula ,team daihatun burudani imerud Tena Leo saa 2 kamil
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MUZIKI ni biashara kubwa sana katika karne hii ya 21 ambapo tumeshuhudia vijana wadogo wakitajirika kwa namna ya ajabu. MUZIKI umefanikiwa kukamata nyanja mbali mbali za uchumi, kupitia biashara...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Wadau wa muziki wa Pop hivi nani anaweza kuziba pengo la Michael Jackson katika anga ya muziki wa Pop duniani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo vipi wadau, Wale wapenzi wa Pub G Mobile season 10 imepamba moto. Vipi tunaonaje game msimu huu. Server ya Africa iko mbioni kuwekwa. Niambie unapenda sana server gani, Sanhok, Erangel au...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii ni thread maalum kwa wapenzi wa filamu za kiswahili hasa za kitanzania. hapa utapata nafasi ya kujua muvi gani ya kiswahili imeingia sokoni, muvi gani inafanya vizurri. kila siku utapata...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Hii ni uzi maalum kwa wapenzi wa movie za ki-Nigeria. Utapata updates za movie kali zenye story nzuri, movie za kichawi, mapenzi ngumi nk. ungana na sisi kwa burudani kali kila siku.
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni hawa waliomba wimbo huu hapa: Au huu hapa kwa mp3 format:
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Samahani wadau naweza vipi pata wimbo huu?
0 Reactions
2 Replies
8K Views
1. Thriller - Michael Jackson (MJ) 2. Year of the Gentleman - Ne -Yo 3. Blue print 3 - Jay Z 4. Uwe Macho - Rose Mhando 5 Bad - Michael Jackson (MJ) Je ni album zipi 5 ambazo unaamini ni kali...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom