NI SHIIDA!
"Ha! Ha! Ha! Huyo binti yako anaitwa nani?"
"Ah! Achana naye, naona hasira hata kulitaja jina lake," alisema mama Juliana huku akionesha hasira za waziwazi kwa binti yake huyo.
Muda...
Alikiba kiukweli lazima awe na stress za hali ya juu maana ameshtuka toka usingizini amekuta he is not a King anymore yaani kijana Mondi atamuua kwa stress aisee. Ingekuwa kimarekani hawa jamaa...
Binafsi si mpenzi sana wa vipindi vya michezo ya kuigiza vya Tanzania. Nlijaribu miaka flan nikaona vimepoteza uelekeo na asilimia 85 hawajui kuigiza.
Wanafanya mambo ya kitoto sana, michezo...
Mtunzi Ally Katalambula
Sehemu ya 01
Jina langu naitwa Sofia ni mama wa mtoto mmoja. Katika familia yetu, mimi ni mtoto wa kwanza kati ya watatu, wadogo zangu wawili wote wakiwa ni wavulana...
Ulimwengu wa entertainment (burudani) unaenda kasi sana, vitu vinabadilika kila leo, level ya ushindani imekuwa kubwa pia, mbali na kushuhudia hamahama ya watangazaji kutoka Media House Moja...
MTOTO WA MWENYE NYUMBA-01
(simulizi fupi ya kusisimua)
ROBIN MIHO
0776741545
Ilikuwa ni saa kumi jioni James alipowasili nyumbani,Vikindu sokoni wilaya ya Mkuranga akitokea katika kibarua cha...
Are there any songs that ease the sting of a break-up? Or any songs that make you think "yeah, THEY totally screwed up?" Or any songs that make you sob uncontrollably for the one who got away...
Tokea Siku ya Alhamisi iliyopita tena katika Kurasa zako mbalimbali za Mitandao Wewe Maulid Kitenge na mpaka Jana Usiku ulikuwa ‘ ukituhimiza ‘ kuwa Sisi Wapenzi wa Michezo vya Redio hasa vile...
ERIC SHIGONGO
MZIMU UNAOTABASAMU-01
Mchungaji wa kimataifa wa Kanisa la Revelation lililopo jijini New York nchini Marekani, Gideon Matimya alishtuka kutoka usingizini mara baada ya kusikia mlio...
Leo pale darajani stamford kutakua na mpambano wa kawaida sana kati ya chelsea na man utd mi naita ngoma ya watoto isiyoumiza maana kila upande una watoto wamejaa.
moambano utakua hapa
tomori and...
Iko hivi kuna jamaa alikua mjanja mjanja sanaaa alikua anafanya mtukii na anajificha aliwahi kufanya tukio na mtaa mzima kuna kamera akawa ana zikwepa. Kuna kipande kingine alipigwa risasi...
Wakuu natumaini mu wazima wa afya
Leo nawasogezea top ten(10) ya movies zilizovunja record ya mauzo makubwa katika film industry duniani
Avenger endgame=$ 2,797,800,564
Avatar=$ 2,789,679,794...
Habari za leo wanajamvi.
Tukumbushane Zilipendwa kidogo wakuu...
Naomba kama kuna mwenye kuweza kunip link ya kupata nyimbo za zamani.
Zile bendi za zamani zile, kwanza kabisa nahitaji ule wimbo...
Japo mimi kama mimi sijategemea kuona imepooza hivi ila ndo hivyo (Kazi ya Vince Gilligan) .
Sehemu kubwa ni kama inaelezea namna gani Jesse Pinkman aliwezaje survive torture za Uncle ake Todd na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.