Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,623
- 8,427
Habari wanaJF leo August 13 ni siku ya kuzaliwa wa mwanamuziki Fid Q basi jamaa ameamua kuachia wimbo mpya unaoitwa "Bongo Hip Hop" ukipata nafasi itafute jamaa amechana kwa kiwango ba Majani ameibariki michano hiyo kwa Beat kali na mixing za hatari. Pia jamaa ameshiriki kwenye Chorus.
Lakini wimbo huo ulishawahi kurekodiwa Tongwe Records lakini Quality yake iko poor tofauti na hii aliyorudia kwa Majani.
Wapenzi wa Hip Hop tafuteni mzigo huu ni hatar tupu.
Nawasilisha
Lakini wimbo huo ulishawahi kurekodiwa Tongwe Records lakini Quality yake iko poor tofauti na hii aliyorudia kwa Majani.
Wapenzi wa Hip Hop tafuteni mzigo huu ni hatar tupu.
Nawasilisha