Habari za saa hii wapendwa Wa JF..

Habari za saa hii wapendwa Wa JF..

STUKA M1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,410
Reaction score
6,997
Jamani kuna zile nyimbo za kukaribisha sikukuu za Christimas na Mwaka mpya (Marry christimas and New year) yaani nazipenda sana na ukicheck mda wake ndo huu unaingia, mwaka upo ukingoni..
So ingekuwa vizuri zaidi wakuu mkanisaidia hizo nyimbo.. Mkuu "joanah" nakutegemea sana.. Najua huwezi kosa hzo nyimbo..

Nawasilisha....!!!
 
Duuh mkuu joanah.. Umecheka eehee.... Basi fanya hvyo mkuu
 
Mkuu walioimba hizo nyimbo wako wengi,au ww unachotaka ni nyimbo tuu!??kwa mfano mm Christmas haijapita bila kusikiliza nyimbo za Jim Reeves, Boney M, Abba na Celine Dion japo wapo wengine lakini hao ni lazima na nina album zao(Jim Reeves & Boney M) kwenye library hao ni wa wakati wote kwenye kusheherekea sikukuu ya Christmas & new year.
 
Mkuu walioimba hizo nyimbo wako wengi,au ww unachotaka ni nyimbo tuu!??kwa mfano mm Christmas haijapita bila kusikiliza nyimbo za Jim Reeves, Boney M, Abba na Celine Dion japo wapo wengine lakini hao ni lazima na nina album zao(Jim Reeves & Boney M) kwenye library hao ni wa wakati wote kwenye kusheherekea sikukuu ya Christmas & new year.
Ni hzohzo mkuu.. Kama hyo Ya Abba umenikumbusha naipenda sana.. Niwekee hapa kama vEpE..
 
Namimi pia mi napenda nyimbo nyingi kwani natumia bluetooth kwenye home theatre
 
wakuu... Huu ni mwaka mwingine pia unaishia, tukumbushane basi zile nyimbo zetu
 
Back
Top Bottom