naipenda clouds ila siipend clouds efu m
Hivi huyu jama ni mwanahabar kitaluma au ni mshereheshaji tu katika sport extral
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa alikuwa anafanya SHUGHULI za fundi masofa na fundi carpenter magomeni,, mdomo wake ndy ELIMU YAKE....hana taaluma yeyote ya mambo ya utangazaji,,amshukuru mdau mmoja wa hapo clouds ndy aliyemuona huko mitaani na kumpeleka clouds,, alikuwa akiishi na kufanya SHUGHULI zake ufundi magomeni ,,,kabla ya kuwa clouds...hadi Leo kuna kesi za wateja kudai vitu vyao ambavyo hajavimaliza..
Sent using Jamii Forums mobile app