Kwa wale tuliosikiliza audio kabla ya Video tutakubaliana kuna mabadiliko. Ilivyo ni kwamba, audio ilikuwa inamaliziwa mwishoni kabisa na Nay Wa Mitego ndiyo goma linaisha.
Sasa picha...
Wadau mada hapo juu yaeleweka.
Siza, Masoud(KP) na Babra hawasikiki Clouds FM Power Breakfast. Badala yao wapo watukutu watatu. Wawili wanatoka XXL ambao ni Adam Mchomvu na Sinyorita aka Sesenyor...
Jamani kwenye zile filamu zetu za zamani waswahili tilizoea kuziita MIKANDA, mimi nakumbuka kuna manyang'au ambao walijua kuvaa uhusika aisee. Yani watoto mekaa sebuleni mnamtungia kila jambazi...
wale wazee wa Action na Crime Searies icheki hii utaipenda... pakua bure kwa hii link... Ziko HD na Highly Compressed unatumia bundle kidogo Hunters Free Download
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna swali hpa Kuna wimbo siujui jina,wala maneno wanayotamka,labda kuimba kwa mluzi naweza!! Je kuna apps inaweza kuutambua kama nikiimba kwa mluzi!!! Shazam na soundboth zimechemka!! Au kama...
Naangalia clouds apa kipindi cha ala za roho ambapo watangazaji ni Meenah ally jose mara na Dr Izack
Tangu asubui naona vipindi vyoye vipo tofauti...
vipindi vyote vimebadililshiwa watangazaji kwa...
Nimechoka sana na nasikia aibu jumlisha wivu , kuangalia filamu za wenzetu zikiendelea kukosha nyoyo zetu hasa kipindi hiki cha Mzee barakoa.
Inabidi watu waibuke wasapoti kazi za sanaa yetu kama...
Leo katika kukaa quarantine hapa hope nkiwa nmefungulia channel ya ETV ya bwana Majizzo, nimeshuhudia ngoma za harmonize TZ zikipigwa kila muda. Je, ni support ya Majizzo tu kwa Harmo au ni Konde...
KIDOKEZO
Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini viongozi hawa wameuawa wengi zaidi Kinshasa kuliko mahali pengine popote katika Afrika? Je, hatua gani zichukuliwe ili...
Mmetupumzisha na ile miziki yetu ya ngono! Nimefurahi sana kusikia mnapiga nyimbo za wasanii wengine wa zamani kama TMK, lady JD n.k
Zile nyimbo za sijui nilikagusa kakalegea, nimelowa tepe tepe...
My Take:
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Wakuu hii movie ya kivita ambayo star mwanzoni alimkamata nyoka na kunywa sumu yake kwenye glasi, ninaitafuta mno lakini sijawahi hatakuiona kila nikigoogle. Tafadhali mwenye taarifa za movie hii...
Katika kipindi hiki cha korona mikusanyiko hairuhusiwi, vilevile show nazo haziruhusiwi.
Tukiachana na Diamond Platnumz ambae hata asipopiga show anapiga pesa kwa Wasafi Media, YouTube views...
Karibu katika Simulizi Mwanzo - Mwisho ya PENDO HURU.
Nafasi ya Mapenzi ya kweli katika jamii,
Nafasi ya wazazi katika mapenzi ya watoto.
Mioyo migumu iliyobeba siri zinazo angamiza nchi...
Habarini wakuu.
Leo mida ya saa nne kasoro katika kipindi cha Power Breakfast Kasoro Clouds imepiga rasmi wimbo wa Komando Jide Joto Hasira.
Kipindi hicho kilichoongozwa na Gardner Habash...
Kipindi cha vichekesho chenye ubunifu wa aina yake na mimi nimiongoni mwa fan wa kipindi hiki Cha Jambo na Vijambo ambacho hapo awali kilikuwa kikirushwa na East Africa TV na kilikaa muda mrefu...
Jana Alikiba alikua Live kwenye kipindi cha Homa Tve akitoa burudani kwa wapenzi wa Mziki mzuri, Pia alipata nafasi ya kumtambulisha msanii wake mpya Tommy kwa mshitukizo wa ngoma yao Mpya kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.