Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

likipatikana jibu la hii challenge nitaleta nyingine lets have some fun Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wale tuliosikiliza audio kabla ya Video tutakubaliana kuna mabadiliko. Ilivyo ni kwamba, audio ilikuwa inamaliziwa mwishoni kabisa na Nay Wa Mitego ndiyo goma linaisha. Sasa picha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau mada hapo juu yaeleweka. Siza, Masoud(KP) na Babra hawasikiki Clouds FM Power Breakfast. Badala yao wapo watukutu watatu. Wawili wanatoka XXL ambao ni Adam Mchomvu na Sinyorita aka Sesenyor...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Wale mnaomkubali kinyama Vin Disel kaja na BLOODSHOT. Movie kali ya action 2020 Pakua Bure Hapa ShrinkMe.io
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani kwenye zile filamu zetu za zamani waswahili tilizoea kuziita MIKANDA, mimi nakumbuka kuna manyang'au ambao walijua kuvaa uhusika aisee. Yani watoto mekaa sebuleni mnamtungia kila jambazi...
19 Reactions
354 Replies
69K Views
wale wazee wa Action na Crime Searies icheki hii utaipenda... pakua bure kwa hii link... Ziko HD na Highly Compressed unatumia bundle kidogo Hunters Free Download Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je Spurs anaweza kutoa ubingwa msimu ujao? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Kuna swali hpa Kuna wimbo siujui jina,wala maneno wanayotamka,labda kuimba kwa mluzi naweza!! Je kuna apps inaweza kuutambua kama nikiimba kwa mluzi!!! Shazam na soundboth zimechemka!! Au kama...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Naangalia clouds apa kipindi cha ala za roho ambapo watangazaji ni Meenah ally jose mara na Dr Izack Tangu asubui naona vipindi vyoye vipo tofauti... vipindi vyote vimebadililshiwa watangazaji kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimechoka sana na nasikia aibu jumlisha wivu , kuangalia filamu za wenzetu zikiendelea kukosha nyoyo zetu hasa kipindi hiki cha Mzee barakoa. Inabidi watu waibuke wasapoti kazi za sanaa yetu kama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo katika kukaa quarantine hapa hope nkiwa nmefungulia channel ya ETV ya bwana Majizzo, nimeshuhudia ngoma za harmonize TZ zikipigwa kila muda. Je, ni support ya Majizzo tu kwa Harmo au ni Konde...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
KIDOKEZO Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini viongozi hawa wameuawa wengi zaidi Kinshasa kuliko mahali pengine popote katika Afrika? Je, hatua gani zichukuliwe ili...
35 Reactions
922 Replies
298K Views
Mmetupumzisha na ile miziki yetu ya ngono! Nimefurahi sana kusikia mnapiga nyimbo za wasanii wengine wa zamani kama TMK, lady JD n.k Zile nyimbo za sijui nilikagusa kakalegea, nimelowa tepe tepe...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
My Take: Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
21 Reactions
1K Replies
242K Views
Wakuu hii movie ya kivita ambayo star mwanzoni alimkamata nyoka na kunywa sumu yake kwenye glasi, ninaitafuta mno lakini sijawahi hatakuiona kila nikigoogle. Tafadhali mwenye taarifa za movie hii...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Katika kipindi hiki cha korona mikusanyiko hairuhusiwi, vilevile show nazo haziruhusiwi. Tukiachana na Diamond Platnumz ambae hata asipopiga show anapiga pesa kwa Wasafi Media, YouTube views...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Karibu katika Simulizi Mwanzo - Mwisho ya PENDO HURU. Nafasi ya Mapenzi ya kweli katika jamii, Nafasi ya wazazi katika mapenzi ya watoto. Mioyo migumu iliyobeba siri zinazo angamiza nchi...
7 Reactions
118 Replies
16K Views
Habarini wakuu. Leo mida ya saa nne kasoro katika kipindi cha Power Breakfast Kasoro Clouds imepiga rasmi wimbo wa Komando Jide Joto Hasira. Kipindi hicho kilichoongozwa na Gardner Habash...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kipindi cha vichekesho chenye ubunifu wa aina yake na mimi nimiongoni mwa fan wa kipindi hiki Cha Jambo na Vijambo ambacho hapo awali kilikuwa kikirushwa na East Africa TV na kilikaa muda mrefu...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
Jana Alikiba alikua Live kwenye kipindi cha Homa Tve akitoa burudani kwa wapenzi wa Mziki mzuri, Pia alipata nafasi ya kumtambulisha msanii wake mpya Tommy kwa mshitukizo wa ngoma yao Mpya kabisa...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom