Achana na mtoa mada a.k.a NgumbaruNani anamdhalilisha nani..
Industry ya kuvua nguo jukwaani?Tuache kuingilia industry ya wasanii wetu kwa ku refer kitu kinachoitwa MAADILI YA MIAKA 90 iliyopita
Unavuaje nguo hadharani ? Kwani hapa anachekesha ama anaghadhabisha??Nani anamdhalilisha nani..
Sasa kwa upumbavu huu nani atacheka? Labda mchekaji awe hamnazo!!Anamdhalikisha nani sasa hapo?
Itakuwa wabongo Wana tatizo kwenye akili zao. Mtu na akili zake hawezi kucheka ujinga huu.Comedy za bongo hizo...na watu wanalipia
Mbona unalazimisha wasicheke vipi akili yako akili ya duniaItakuwa wabongo Wana tatizo kwenye akili zao. Mtu na akili zake hawezi kucheka ujinga huu.
Wapo mkoa gani hawa uliowatajaWachekeshaji wa kibongo wanaona kuvaa malapu lapu ndiyo kuchekesha,Sinaona Stive Harvey,Cedric,Wlly smith,Martin wakifanya hupo upuuzi....Kama unajua,unajua tu..
Chato-nge.Wapo mkoa gani hawa uliowataja
Wanadhani kufanya ujinga ndiyo uchekeshajiWachekeshaji wa kibongo wanaona kuvaa malapu lapu ndiyo kuchekesha,Sinaona Stive Harvey,Cedric,Wlly smith,Martin wakifanya hupo upuuzi....Kama unajua,unajua tu..