abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar watanzania polen na majukum Leo nimeona niwawekee sababu 10 za kwanini sito mpigia kura Diamond kwenye Tuzo za Bet
1) kwanza Diamond mimi sio mashabiki wake na wala sijawahi kumpenda
2) Diamond sio Mzalendo kwenye mambo ya kizalendo nashangaa yeye Leo kwenye kuitaka Tuzo ya Bet yeye na genge lake wanatumia uzalendo kuomba kura wakat yeye ndio wa kwanza kudidimiza wasanii wenzake wasiweze kujipatia mkate wao wa kila siku
3) Diamond kuonyesha Dharau kwenye msiba wa ruge na kumchafua kua Ruge alikua ananyonya wasanii wakat yeye alivyo toka kwenye management ya Ruge alitoka Bura na Ruge hakummaind ila yeye Harmonize katoka na kamlipa Lakin kila siku vita
3) Kutomsapot dainanyange pia ni kukosa uzalendo kwani Dainanyange ni mtanzania na aliitaji uzalendo wetu ila kina Diamond waliombwa saport wakamtolea nje ila Davido kajitoa kwa Dada yetu kwaio wanaijeria wanaitaj sapot kutoka kwetu
4) Kujifanya kua kila mafanikio yake ni judud zake sababu najua hata akichukua io tuzo atakuja Kuanza kujidai kua wote walio kua wanampinga kawashinda wala hato kumbuka kua tumempigia kura
5) Mama yake kujiona yeye ndio Kazaa peke yake na kumtumia mwanae kuzalilisha watoto wa wengine bila kujali mama zao watajiskiaje
6) Kumsaliti mzee Abdul alie mlea kwa Miaka yote
7) NI SADALA
8) Kwasababu sitaki ashinde
Izo ni Baadhi ya sababu zangu hivyo mimi Binafa kura yangu nampigia Burna Boy
1) kwanza Diamond mimi sio mashabiki wake na wala sijawahi kumpenda
2) Diamond sio Mzalendo kwenye mambo ya kizalendo nashangaa yeye Leo kwenye kuitaka Tuzo ya Bet yeye na genge lake wanatumia uzalendo kuomba kura wakat yeye ndio wa kwanza kudidimiza wasanii wenzake wasiweze kujipatia mkate wao wa kila siku
3) Diamond kuonyesha Dharau kwenye msiba wa ruge na kumchafua kua Ruge alikua ananyonya wasanii wakat yeye alivyo toka kwenye management ya Ruge alitoka Bura na Ruge hakummaind ila yeye Harmonize katoka na kamlipa Lakin kila siku vita
3) Kutomsapot dainanyange pia ni kukosa uzalendo kwani Dainanyange ni mtanzania na aliitaji uzalendo wetu ila kina Diamond waliombwa saport wakamtolea nje ila Davido kajitoa kwa Dada yetu kwaio wanaijeria wanaitaj sapot kutoka kwetu
4) Kujifanya kua kila mafanikio yake ni judud zake sababu najua hata akichukua io tuzo atakuja Kuanza kujidai kua wote walio kua wanampinga kawashinda wala hato kumbuka kua tumempigia kura
5) Mama yake kujiona yeye ndio Kazaa peke yake na kumtumia mwanae kuzalilisha watoto wa wengine bila kujali mama zao watajiskiaje
6) Kumsaliti mzee Abdul alie mlea kwa Miaka yote
7) NI SADALA
8) Kwasababu sitaki ashinde
Izo ni Baadhi ya sababu zangu hivyo mimi Binafa kura yangu nampigia Burna Boy