Wale wapenzi wa Money heist season 5 imerejea. Mtandao na watayarishaji wa series hii wametangaza official date ya kutoka kwake.
Part 1 itatoka SEPTEMBA 3
Part 2 itatoka DESEMBA 3.
Tukae mkao wa...
Kama ww ni yule mpenzi wa Korean drama za family na comedy basi hii isikupite.
Drama hii imetok mwaka 2017 na ina ep 52.
Drama:FATHER IS STRANGE
Tv channel:KBS
Set:Korea
Year:2017
Episodes: 52...
Katika Comedian movie zangu kwa mwaka huu ni Coming 2 America imejaa vituko mno yaani nikitazama nafurahi mda wote inaondoa stress kwa kweli ukiachana na mitungi.
Nilipenda Wesley Snipes...
Niaje niaje.
Kongole Kwa Mr Diamond Platnumz kwakuwa kwenye nomination ya tuzo kubwa za BET AWARDS. Sio Jambo dogo maana Kwa Afrika wako wasanii wengi sana ambao wanafanya muziki.
Karibu...
Habari,
Naomba kuuliza swali hili, Isidingo imeonyeshwa miaka mingi sana ITV nani alikuwa anamlipa mwenzake, maana miaka na miaka nakuwa nacheck tu.
Pia naona imekuja pia tamthilia nyingine...
Natumai wanajamvi hili wazima.
Naomba mwenye kujua majina ya movies zinazolezea masuala ya matukio ya dini za Kiislam na Kikristo..mfano maisha ya Nabii Ibrahim, safari ya Wana wa Israel kutoka...
kwa wale wapenzi na wafwatiaji wa movie ,hasa zinazohusisha mashindano ya magari kama mimi,huwezi kuwa umekosa kufwatia movies zenye mwendelezo za "fast and furious" zilizosheheni wababe kama the...
Leo nimekumbuka hii ngoma ilivuma Sana enzi zile wakati bado blackberry na apple ni matunda hayajawa simu.
Title ya wimbo ilitokana namsemu wa aliyekuwa raisi wa JMT awamu ya 3 Bwana Ben Mkapa...
Nimeipenda hii movie. Humu jamaa anaonekana kama mtu wa kawaida tu, familia na marafiki wanamchukulia poa. Kumbe alikuwa ni mbad na kaamua kutulia. Russian mafia walipoingilia familia yake...
Leo ni miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha mmoja wa Wanamuziki bora zaidi kuwahi kutokea katika Bongo Fleva, Albert Mangwea.
Mengi yamezungumzwa kuhusu kifo chake, na hakika ameacha pengo...
Ikiwa ina kama 2 weeks since iwe released with 1+M views na no.37 on treding, ngoma hii ya lavalava so far ni moja ya ngoma zinazohit kwa sasa without a doubt. Kiukweli lavalava hua simuelewi sana...
Nampenda,Kumuheshimu na kumfurahia kazi zake kila siku mzee Cosmas Chidumule,mimi kwangu sauti yake ni sauti ya dhahabu,zaidi ya TID,Q chief, Linex na wengine wengi......
Kuna nyimbo zake nyingi...
Je, umepata nafasi ya kuskiliza? "cheketua ya Barnaba akimshirikisha Alikiba...?km bado hujachelewa ...ila naeza sema ni moja kati ya kati za bora za mziki kwa mwaka huu...melodies beats na kila...
Sept. 2017
Cosmas Thobias Chidumule alipotokea mpaka alipofikia na historia ya maana za nyimbo zake kama ''Barua toka kwa Mama'' n.k na safari zake sehemu mbalimbali za ulimwenguni na anabainisha...
Nmejaribu kuangalia ngoma moja ya Rayvany na mtu mzima Jux iliyotengenezwa na Hanscana. Baada ya hapo nika compare na video za Director Kenny...
Kwangu nmeona keny ni mkali wa video
Eb dondosha...
Mwandishi: Hans Christian Andersen, 1837
Kimetafsiriwa na Pictuss.
Email: pictuspublishers@gmail.com.
Pictuss2021.
Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya tafsiri hii inayoweza...
Leo hii BET wametoa majina ya wasanii ambao wanaenda kuwania tuzo katika vipengele mbalimbali moja ya wasanii hao ni Diamond Platnumz ambae anaenda kupepelusha bendela ya Tanzania [emoji1241] na...
FILM: KITISHO
MTUNZI: Richard MWAMBE
1
Mbowe club saa 1:23 usiku
RADI kali ilipasua anga na kufanya mchoro wa kutisha, mwanga wake ulilipoteza giza kwa sekunde kadhaa, kila kilichojificha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.