Kumekuwa na makelele mengi kuwa mziki wa Tanzania hauna mvuto tena umeshuka.
Kelele hizi zinapigwa na wasanii wenyewe,djs na producers pia na raia wa kawaida.
Wengi wanaotoa maoni hayo wanaamini...
BAADA ya miaka minne ya kuajiriwa bila hata kuongezwa mshahara au hata marupurupu, Bwana Juma Hassani aliamua kwenda kwa bosi wake kulalamika. Jibu alilolipata kwa bosi wake ni kwamba, hakupewa...
Straight to the point,
Naomba mwenye album mpya ya Yeezy (Kanye West) - Donda aweze kuweka link hapa au kushare, nimejaribu torrents bila mafanikio.
Naitafuta sana ngoma ya No Child Left Behind
nilizoea kuishi mwenyewe..ila kwa sasa kuna watoto flan nitakuwa nao..so kwa vile mm ni mdau wa movie sana muda wote...naomba majina ya movie ambazo sitakiwi kuweka kwenye folder/flashdisk au dvd...
Rayvanny ni msanii talented sana linapokuaja suala ya kuimba yaani kibongo bongo ni R KELLY maana sio poa that's why anakimbiaza sana Spotify, tidal, apple music, you tube, Deezer , audiomack na...
Zuchu na harmonize waliachia nyimbo zao siku moja huko youtube
Lakini katika hali ya kushangaza views za Harmonize zilionekana kupaa ghafla kwa speed ya light 😅😅😅 mpaka watu tukawa tunashangaa...
Habari wana Jf
Ni muda mrefu nimekuwa nikiitafuta hii tamthilia ya Kichina iliyokuwa ikioneshwa TBC kwa lugha ya kiswahili lakini Sijafanikiwa kuipata.
Nimejaribu kugoogle kila aina ya context...
yelena na natasha wanaingia kwenye mikono dreykov wanapikwa kwa mafunzo makali na mbinu mbalimbali za kijasusi wao pamoja na mamia ya wasichana wanafanya kila wanchoambiwa kwa ubongo wao ni kama...
Taylor Swift, msanii namba moja kwa mauzo 2020/21
Kama unapenda melody nzuri sikiliza nyimbo hizi HUTOJUTIA
Cardigan
Seven
Willow(for girls)
tis the damn season
Long story short
Dorothea...
Kama kawaida akiona inatrend style flani ataungaunga na kuforce wimbo hadi upendwe. Jana kaingia studio na CN mufasa kutengeneza nahisi track ya mtindo wa kibondeni "Amapiano". Jamaa wanawadaka...
Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba...
Leo nimeitazama mission imposible niliweka kwenye store mda mwingi nikawa naiskip tu kumbe ni bonge moja la movie
Iko hiv binti yoh dae hae ni kutoka kitengo nyeti cha usalama anatakiwa kufanya...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1
UTANGULIZI
Peace Family
Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New...
Back to Back Song mpaka mteme ndoano.
Kule kwa wachafu roho baada ya mziki kubuma, na kik za mademu Kubuma sasa wamejikita kwenda kukopa hela benk ili wanunue mandinga waweze trend
Hatimaye ijumaa imefika. Album hii, binafsi niliisubiri sana, mimi ni mdau mkubwa wa muziki wa Reggae, hawa jamaa wa Morgan Heritage ni moja ya Band bora kabisa ya Reggae. Gramps Morgan ametoa...
Burudani na mazoezi yamekuwa na umuhimu mkubwa katika karne hii. Viongozi katika nchi nyingi wamekuwa wakijaribu katika kuhimiza wananchi wao katika swala zima la kufanya mazoezi.
Kuwepo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.