Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari zenu wakubwa na wadogo zangu. Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali.. Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sasa BASATA mnafanya kazi nzuri kuzuia au kupunguza unyonyaji wa wasanii, Sasa Kuna inshu kubwa ya hao mnaowatetea pia hao ni wanyonyaji wakubwa Sana wa Maproducer, yaani producer wamebaki chawa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeona Ibra ametoa video ya wimbo Jipinde, YouTube masaa 16 yaliyopita views Mil 1 hadi sasa (Saa 5 mchana tar 19-08). Hizo views Mil 1 vijana wa WCB Mbosso na Rayvanny wametumia week nzima...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NGUVU YA MUZIKI Kila mikimtazama binti yangu Darina akijaribu kumumunya maneno na kucheza kwa hisia kila akiskia nyimbo anayoipenda ama kuifahamu kuipitia simu ya mama yake au radio au hata...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wana burudani wa zilipendwa, Kuna nyimbo mbili natafuta Audio zake au jina la wimbo 1. Hii nyimbo siijui "title" yake lakini inaimba: " Kama wanipeenda, twende kwa baaba, Akishakuonaa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nakwea Bila ngazi Maskini huchechemea Bila vazi Nchi wanaichezea kila dansi Huku tukitizama wanavyojimegea ardhi Wamezindikwa na mganga Hii Siri Ni Kali nagubikwa na utata Mtanza kajibanza chocho...
2 Reactions
3 Replies
823 Views
Nasikiliza kipindi cha Amplifier top10 countdown kinachorushwa hewani na redio ya watu Clouds FM na nimegundua kimepoteza kabisa taste yake, mvuto na burudani iliyokuwa inatolewa kipindi cha nyuma...
9 Reactions
27 Replies
8K Views
Lissa Lyrics by Rapcha Tongwe Records baby Bin Laded Saa sita mchana jua la utosi Chuo boom! limetema Nimekaa kiboss Ata presha ya msosi sina Somebody is calling… Oh kumbe Lissa Nimemsave Love...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu mwana dada ananikosha sana kwa enzi zangu huyu ndo staring wa kike ninaye mkubali ni staring yupi unaye mkubali kpnd cha vhs Angalizo kwa wale vijana walozaliwa kipindi cha cd wasikoment...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
War Horse 2011 Farasi wa Vita. Hichi kisa cha War Horse 1912 Devon, England jamaa-Ted ananunua Farasi mnadani kwa mkwara anamu-outbid mwenye nyumba wake, watu wote wanamshangaa mbona Farasi sio...
2 Reactions
0 Replies
854 Views
Ee bwana unifadhili-by Aloyce Goden Huu wimbo una fikirisha na kunibariki sana. Hongereni sana wanakwaya wote mliohusika katika wimbo huu. Kweli mliutendea haki, Mungu awabariki sana ni wimbo...
2 Reactions
0 Replies
889 Views
Katika mazingira ya kitanzania ni ngumu sana kukua kwa kufurahia maisha kwa kula unachokipenda kukaa sehemu nzuri; kuvaa vizuri; kukutana na watu smart yaani mtu mpaka anakuwa mtu mzima anakuwa na...
1 Reactions
19 Replies
11K Views
Mwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Kama ni mpenzi wa documentaries share nasi baadhi kati ya ulizoangalia. Itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. Mimi naanza na darwins niightmares. Hii imetengenezewa Mwanza Tanzania na...
15 Reactions
288 Replies
52K Views
Wakuu wale wapenda Hip Hop ngumu za asili mtu mzima Nas Escober ameachia album yake Kings Disease II Mwaka jana aliachia KD1 na ikafanya poa ikampatia Grammy Award kama album bora ya hip hop...
1 Reactions
0 Replies
925 Views
Wakuu ninaomba anayejua huu wimbo aniambie, unapigwa sana kwenye kipindi cha Salaam cha Voice of America kama kibwagizo. Una mahadhi ya Caribian huko. Unaanza na dancee dancee Naomba anaeujua...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
3 Reactions
1 Replies
498 Views
Kwa ufupi huko zamani enzi za uzee wangu sikuwa kabisa mpenzi wala mtu wa mziki kabisa. Lakini mwaka 2009 au 2011 hivi ndipo nilipoanza kufuatilia na kuupenda mziki lakini, hayo yote yalikuja...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Hivi ndio wamecopy kwa wazungu ama wingi wa makaburu umechangi? Yaani kila tamthilia ya kisauzi utakayoingalia lazima wachomekee au kuweka character ya shoga mmoja Mbona kama wanahamasisha...
6 Reactions
31 Replies
5K Views
Back
Top Bottom