Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,499
- 1,136
Mwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
Mungu ni fundi sana. Maana ilisemwa "Mungu hamfichi mnafiki!" Hapa tujiulize ikiwa tu kuwa FM ameota pembe je angeliukwaa urais hali ingelikuwaje???Mwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
View attachment 1861386
Mbona ni Bony Mwaitege huyuMwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
View attachment 1861386
Kuna hawa 3 hapa chini - yeyote akija kupewa nchi tutakuja kukiona cha mtema kuni kuliko hata kile cha Magufuli....hata Ndugai ni cha mtoto nawaambieni:Mwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
View attachment 1861386
Pumbavu kabisaMwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
View attachment 1861386
Mwigulu anawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzani. Wale mnaokwenda Burundi msisahau kumsalimia Ndaishimiye.
View attachment 1861386
Unaambiwa hela ya hazina ishaanza kuleta mamboUPUUZI MTUPU!!! Huyo kikaragosi cha dhalimu mwendazake hana sifa hata moja ya kuongoza chochote kile hapa duniani.
inasemekana kishaanza kununua wenye njaaFrankly speaking, Mwigulu hana hata siffa ya kuwa hata Mwenyekiti wa Kijiji. Kwanza ametenda uhalifu mkubwa sana wa Kibinadamu jimboni kwake ananuka damu za watu ndio maaana kukataliwa kunamwandama daima. Pili hana haiba ya Uongozi kutokana na Lugha/Kauli zake za mwaka 1840 hukoo. Kijana Fuuuulish kabisa
Ya lini ?Acheni kumgombanisha Mwigulu na Samia
Video ya zamani hii.
Mumeanza kumsagia ngunguni boss wake akiona hivyo safari itamhusu.
Kampeni za 2015.Ya lini ?