Mwimbaji wa Bongofleva toka WCB Wasafi, Rayvanny amemtambulisha msanii wa kwanza aliyesainiwa chini ya lebo yake ya Next Level Music (NLM), Mac Voice tangu kuanzishwa kwake Machi 2021.
Kabla ya...
Ukiangalia TV ya wasafi 95% ya vipindi vyao wamecopy na kupest kutoka EATV
Hata redio yao kwa kiasi kikubwa wamekopi earadio
Ukiondoa ile logo ya W ukawa unaangalia tv utajua unaangalia EATV...
Netflix imetangaza mpango wake wa kutoa huduma za kutazama filamu na series bure nchini Kenya 'Free Mobile Plan' katika harakati za kukamata soko la watumiaji wa internet zaidi ya milioni 20...
Habari zenu wakuu humu jamvini.
Nisiwachoshe wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Muda huu naandika uzi huu nipo hapa Forty Forty Tabata Bima, ila kiukweli watu tuliopo hapa ni wa...
Ndugu wana jamii nakuja kwenu kuwaomba kwa mwenye nyimbo za kundi la bongo fleva la hard blasters crew(HBC) lililokuwa linaundwa na Niger J,Fanani na Big Willy ambazo ni 1.Funga kazi
2.Tuko nyuma...
RIWAYA: BOMU
MWANDISHI: HALFANI SUDY
SIMU: 0652 212391
Sehemu ya Kwanza
DANIEL Mwaseba aliamka ghafla kutoka katika usingizi aliodumu nao kwa saa zisizozidi tatu. Alifumbua macho kwa haraka huku...
MJUE MBILIA BEL
Mbilia Bel (Mbilia Mboyo, Marie-Claire), Marie Claire Mbilia Mboy, maarufu kama Mbilia Bel alizaliwa jijini Kinshasa, tarehe 14 Agosti, 1959 au Januari 10, 1959 tatizo linakuja...
Kwa wale wapenzi wa series pitia hii link utapata series zote unazohitaji kwa kutumia simu yako ya mkononi tu.
KUMBUKA: Jambo la kuzingatia ni kwamba unapoingia kwenye web hii tumia operamini na...
Habari wakuu,
Nilikuwa na namba za wachambuzi wa muziki Kama Rajab Zomboko, Chacha Maginga lakini bahati mbaya nimefanya reset ya Simu sizioni Tena.
Naomba mwenye namba hizo na za wachambuzi...
Katika vipaji vikubwa katika bongo fleva bas ni pamoja na huyu dogo Marioo, kwa muda mrefu muziki wetu umekuwa ukienda kwa mihemko ya uteam na kufanya wasanii wakali wachukuliwe poa.
Ila safari...
Kwa hizi takwimu TFF Watueleze inamaanisha uwezo wa uwanja wa Mkapa ni mkubwa kuliko Estadio Camp Nou F.C. Barcelona ambayo inabeba mashabiki 99,354 au Rungrado May Day Stadium wa huko Korea ya...
Nyanja: Mahusiano
(Siyo tukio halisi)
Wateja wa mgahawa mmoja wa chakula unaoitwa Kowak 4 Star Motel ulioko Ingri-Juu Wilayani Rorya wamefikishwa kituo cha Polisi baada ya kupigana vibaya sana...
Habari wanajamvi, nimewaletea mada hii kuhusu baadhi ya movie za ulaya na asia.
Kuna hii movie inaitwa soz, nijikite wakati wale wapelelezi wawili wanamfatilia profesa. Walibain kuna mtu...
MAJUTO NI MJUKUU
Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa
Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza...
Nitashambuliwa ila ukweli na uongo havipikiki chungu kimoja,leo Simba Day imepoa sana ndugu zangu,nnaweza kutafsiriwa vibaya ila Ona hali ilivyokua saa 2:00 Asbh siku ya Wananchi na hali ilivyo...
Shairi: Tumejaliwa sana sisi
Tanzania,Ngao yetu umoja
tumeshikilia, heri tujiulize nyi
watazania, vipi malengo yetu
tumezingatia.
Kiitikio: Mawazo ya Mwalimu
yameshatimia, kudumisha umoja
ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.