F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,637 37,850 Oct 12, 2021 #1 Sikiliza Video clip hii - hawa ni Orchestre Kiam wimbo unaitwa Moni. Sikiliza kutoka 6:40 hadi 7:50
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,883 155,856 Oct 12, 2021 #2 Umenikumbusha zama hizo nikiwa meneja wa kampuni ya meli pale Dodoma ndipo nikahamishiwa railways Zanzibar
Umenikumbusha zama hizo nikiwa meneja wa kampuni ya meli pale Dodoma ndipo nikahamishiwa railways Zanzibar
LIKUD JF-Expert Member Dec 26, 2012 15,115 27,105 Oct 12, 2021 #3 Dah kumbe Jf tupo Na wazee, me. najitoa aisee
The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,254 42,873 Oct 12, 2021 #4 Bujibuji Simba Nyanaume said: Umenikumbusha zama hizo nikiwa meneja wa kampuni ya meli pale Dodoma ndipo nikahamishiwa railways Zanzibar Click to expand... Wakati huo nikiwa mhasibu wa shirika la wakulima wa karafuu Morogoro. Nilikua sijaona huu ubatizo Bujibuji Simba Nyanaume
Bujibuji Simba Nyanaume said: Umenikumbusha zama hizo nikiwa meneja wa kampuni ya meli pale Dodoma ndipo nikahamishiwa railways Zanzibar Click to expand... Wakati huo nikiwa mhasibu wa shirika la wakulima wa karafuu Morogoro. Nilikua sijaona huu ubatizo Bujibuji Simba Nyanaume
Iselamagazi JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,922 6,009 Oct 12, 2021 #5 Miaka ya 1978!!! Mkuu, utakuwa unatuonea wengi hapa jukwaani. Labda Mzee Mohammed Said atakuwa anajua.
Miaka ya 1978!!! Mkuu, utakuwa unatuonea wengi hapa jukwaani. Labda Mzee Mohammed Said atakuwa anajua.