Niko tu mi baby
Kama maji kwa mtungi
Nyonga buli baby
Nivute niiishi nibaki kishungi
Aii zuri baby
Nibandike nigande ka gundi
Maakuli nilishe nishibe
Kitumbo ndindi
Unanikoleza, unanichombeza...
Rapa kutoka Mexico, Dan Sur @dansurig amefanyiwa upasuaji na kuondolewa nywele zake kichwani na kuwekewe cheni za dhahabu. Dan Sur anasema alitaka kufanya kitu tofauti, kuwa binadamu wa kwanza...
Habari wakuu
Mimi ni mshabiki sana wa games hasa hasa mobile games sababu muda mwingi napata free nikiwa kazini kuliko nikiwa kwangu
Nilikua najaribu kutafuta mashabiki wenzangu kama wapo...
Habari za mchana WanaJF filamu pendwa imeshaachiwa Unaweza Sogea Netnaija.movie kwa Uchumi huu wa tozo Netnaija.movie Mkombozi wetu [emoji39]
Kama Uliangalia Dont Breath part 1 ya mwaka 2016 basi...
Kuanzia wiki ijayo Wasafi Media wanatarajia kuanzisha kipindi kipya cha asubuhi kitakachoruka kuanzia saa 11 asubuhi asubuhi mpaka saa 1 na nusu asubuhi, hii ni katika kuboresha na kuzidi kuijenga...
Msimu mpya wa onyesho kubwa na la ukweli barani Afrika, Big Brother Naija, unaanza kuonyeshwa leo Jumamosi na Jumapili na waandaaji wakiahidi onyesho kuwa kubwa na bora zaidi kuliko hapo awali...
Jana kwenye Dstv chaneli ya Maisha Magic Bongo nilishuhudia movie inayoitwa 'hornet' nafikiri inarushwa kwa ufadhili wa Marekani, actors ni Wamarekani wenyewe ila imewekewa maneno ya Kiswahili...
BAKI NA MIMI
Email: halfanhamis337@gmail.com
Yusto alimaliza kusoma ujumbe huo kutoka kwa Brandina wenye utani ndani yake, akainua macho yake akamtazama Caren akakuta nae anamtazama.
"vipi"...
#Repost CNN @download.ins
---
FinanceBuzz will pay an individual $1,300 to watch 13 scary movies in October, in an effort to find out whether the size of a movie's budget impacts its scariness...
1: KING KIKI vs NGUZA VIKING vs ALLY ZORRO
2: BEYONCE vs RIHANNA
3: LADY JAY DEE vs RAY C
4: P FUNK vs MASTER J
5: TUPAC vs BIGGIE
6: NAS vs JAY Z
7: PROFESSOR JAY vs Mr 2 SUGU vs AFANDE...
FAIR PLAY
(Mchezo wa kirafiki)
Sehemu ya................01
Saa 2:30 Asubuhi, ZAMBE.
Gari aina ya Land cruiser lilikuwa likienda kwa kasi sana katikati ya mji wa Nzambe.
Ndani ya gari hilo...
Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama...
Habari za usiku.
Huu wimbo wa Vitalis Maembe umenichekesha baadae ukanifikirisha sana.
Kaisari tumempa chake na vyetu anachukua...
Huyu kijana ni hazina sana, mashairi yake yanafikirisha zaidi...
Ni moja ya kazi nzuri ya msanii kevin hart
Humu ndani namna gani baba alivyopambana kumlea mtoto katika mazingira yeyote hata akiwepo kazini Kevin hart kauvaa uhusika vizuri kabisa 100 percent...
Ndungu zangu kuna nyimbo zitaendelea kuishi miaka yote yaan. (NYIE WA KISASA SIKILIZENI NYIMBO ZENU WE MPELEKEEE MOTO NAISI ATA WATOTO ZENU WATAPELEKEWA MOTO IVO IVO)
Antlantic starr-always...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.