Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Gangs Of Lagos - Full Trailer Best friends Obalola, Ify and Gift were born and raised in Isale Eko, where politically affiliated gangs rule the streets. When rival gangs paint the streets red...
3 Reactions
0 Replies
552 Views
Kama kuna kundi lilikuwa linafanya Hip Hop mpaka unatikisa kichwa wakati wa kusikiliza basi ilikuwa Nako2Nako Soldiers na ukisikia jinsi mtu kama Lord Eyes anavyo flow yaani unahisi uko dunia...
6 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari zenu. Natumai mpo salama kabisa, nimeona nominees wa Tuzo za Muziki Tanzania kiukweli watu wengi wametilia mashaka jinsi walivyopatikana hao washindani. Hili jambo natumai kwa asilimia...
0 Reactions
3 Replies
708 Views
Nimeambiwa na watu kadhaa pamoja na watunzi suala hili wakipendekeza kuwa inafaa nipewe cheti maana nmekuwa nikiwapigania hasa. Na waandishi kadhaa wameonekana kunishukuru kwa jinsi ambavyo...
1 Reactions
2 Replies
648 Views
Meneja wa muda mrefu wa kundi la muziki wa kizazi kipya la Tiptop Connection,Abdul Taletale aka Abdul Bonge ameaga dunia. Abdul Taletale ambaye ni kaka wa Babu Tale atazikwa mkoani Morogoro...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu. Natumai mpo salama kabisa, kama mada inavyojieleza hapo juu naomba msaada niweze ku-download hiyo movie ya kibongo inaitwa TAG OF WAR mwenye direct link naomba anisaidie...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu hongereni kwa majukumu. Tafadhali naomba mwenye movie tajwa juu atume hapa ile yenye landrover ikimkimbia mzungu kwenye geti. Thanx in advance
1 Reactions
3 Replies
478 Views
17 years ago today, Rihanna released her sophomore album ‘A Girl Like Me.’ The singer’s second album spawned the chart-topping ‘SOS,’ which became her first of 14 #1 hits, along with...
2 Reactions
3 Replies
789 Views
Wakuu habarini, Nimeamua kutoa punguzo kwa members wa JF au rafiki zao kwa wale wote wanaohitaji kufanya party fupi ya birthday au event yeyote isiyozidi watu 100 kwa muda wa masaa 2 hadi 3...
6 Reactions
12 Replies
808 Views
Wanajamvi heri ya pasaka na mfungo kwa islamic. Direct kwenye mada, wakuu ukiacha series zilizo sifiwa sana kama Iris na Game of Throne ambayo nilijaribu kuifuatilia ila maudhui yake yakanifanya...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Hamjambo humu ndani😉nimewamiss haki tena. Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka. Huu wimbo...
14 Reactions
95 Replies
5K Views
Kwa wale wa Originality, Different, and Creativity, with a bit of one liners and humorous dialogues ; A Case every Episode while looking at a bigger picture... One of the Best Series at the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
23 years ago today, Britney Spears released ‘‘Oops!... I Did It Again.’ The Grammy-nominated pop classic served as the lead single off her blockbuster sophomore album. It was a #1 hit in the...
1 Reactions
4 Replies
620 Views
Mwanzoni nilikua napenda kuishi sehemu ambayo haina makelele lkn sasa nimekuwa mtu wa stress sana siishi na familia yangu nimekuwa mtu wa mawazo sielewi hatma yangu kuondokana na stress nakunywa...
0 Reactions
18 Replies
813 Views
Kenge kwenye moja na mbili Hivi ni kweli MTAJI WA MASKINI NI NGUVU?? Kama ni kweli acha nikawe mwizi..Ngoja kwanza nikiwa mwizi si ZA MWIZI NI AROBAINI?? Amakweli NGOMBE WA MASIKI HAZAI,NA AKIZAA...
1 Reactions
4 Replies
965 Views
Habari zenu wana JF Natumai Pasaka imeisha salama. Miaka kidogo iliyopita kulikua na uzi watu walipost bongofleva zile old school. Ziliwekwa mp3 hapo lakini ule uzi sijui ulifutwa au la. Mimi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mmiliki wa hii Pub hapa Iringa ana kazi kubwa ya kufanya. Niko hapa saa hii, huduma ni Mbovu ajabu, wahudumu wana lugha za ajabu na dharau hadi unashangaa. Kama ilivyo kwa Liquor store nyingi...
0 Reactions
1 Replies
665 Views
Thanks to South African Amapiano.
2 Reactions
8 Replies
432 Views
Wapi kuna live BAND muda huu hasa Kindondoni nataka nikapunguze stress.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jioni baada ya kutoka mihangaikoni nimekaa geto, nikitafakari siku yangu imeendaje. Wakati huo wa kutafakari huwa napenda kusikiliza muziki na miziki yangu mara nyingi ni Hip Hop na Reggae ila leo...
2 Reactions
2 Replies
627 Views
Back
Top Bottom