Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Vipi hakuna wadau humu? Mimi naifatilia nikiwa home, week imeshakata. Naona mambo yameanza kuchangamka ingawa safari hii pisi kali ni za kutafuta na tochi, nimeona pisi mbili tu...
5 Reactions
502 Replies
27K Views
Habari za siku wana JamiiForums, Nipende kuwajulia hali na kwa wale wenye changamoto za kiafya poleni sana na bila shaka mtapoa na kupona pia Moja kwa moja kwenye lengo kuu. Tafadhali sana...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Poleni sana na siasa za gonga kichwa za nchi hii. Baada ya kumaliza simulizi yetu ile tamu ya BARADHULI MWENYE MIKONO YA CHUMA, sasa basi nawakaribisha kwenye kigongo kingine...
22 Reactions
896 Replies
170K Views
Simulizi:- "Intelijensia inapokutana na nguvu ya upande wa pili wa dunia. BARADHULI MWENYE MIKONO YA CHUMA. Biashara kubwa ya magendo inafanywa na watumishi wa serikali akiwemo Bwana Malale...
26 Reactions
1K Replies
220K Views
Wazee wa Big Brother tuendelee kupata burudani.
2 Reactions
65 Replies
6K Views
IMEANDIKWA NA : GEORGE IRON MOSENYA ********************************************************************************* Simulizi : Kizuizi Sehemu Ya Kwanza (1) Majira ya saa tatu asubuhi waumini...
6 Reactions
33 Replies
12K Views
Mwanamuziki Kiernan Forbes alimaarufu kama AKA alipoteza maisha Kwa kupigwa risasi siku ya ijumaa ya Februari 10, 2023 barabara ya Florida usiku mjini Durban, South Africa. Kipi kilichojificha...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
HADITHI: KIFO SIKU YA HARUSI YANGU MTUNZI : ERIC J SHIGONGO MWANZO Mamia ya watu walikuwa wamefurika ndani ya ukumbi wa Pundamilia ulio ndani ya hoteli ya maarufu ya Atrium, karibu kila mtu...
3 Reactions
87 Replies
17K Views
Kati ya wimbo "Kapu" wa Juma Bhalo na "Bunduki bila Risasi" wa Shakila ni wimbo gani ulishida kwa mipasho? Kapu (huu uliimbwa na Juma Bhalo, siyo Mohammed Mrisho kama ilivyoonyeswa kwenye video...
0 Reactions
6 Replies
859 Views
Peace and Much Love Family, Karibu kwenye hii Deep Study juu ya majabali watatu wabobezi kabisa wa taaluma Ijulikanayo kama Emceein inayopatikana ndani ya Utamaduni wa Hip Hop. Lengo kuu la...
2 Reactions
1 Replies
875 Views
Shanghai! Wakati 2022 inaenda kubaki kwenye vitabu vya historia, tujikumbushe movie za huu mwaka Kumekuwa na movie nzuri kama woman king, Black panther, RRR, Top gun Maverick, batman, avatar nk...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habarini. Mtanisamehe kdg kwa uwandishi wng Kama mada apo juu inavyosema nitasimulia niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa na mke wng. Mimi ni mtot wa 2 katika familia yetu...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
SEHEMU YA 01 “Wewe una hoja Martha, kumbe unajua chakula kizuri...nikuambie kitu mke wangu.” Martha alipoisoma meseji hiyo, akaguna kwanza, akamjibu” “Mh! Nimekuwa mkea mara hii jamani?” “Kwani...
2 Reactions
34 Replies
72K Views
OMUKAZI MURUNGI MUSICFESTIVAL Sekta ya sanaa na burudani ni moja ya sekta inayokuwa kwa kasi hapa nchini kwetu Tanzania, sekta hii imekuwa chachu katika kuchangia mapinduzi ya kiuchumi, kijamii...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
PROFESA . Kuna Nyakati Mechi ikiendelea Unabaini kabisa uwanjani Wachezaji wamebanwa na wamekosa mbinu Mpya wao binafsi ya Kujiokoa ili wapate ushindi Lakini Ghafla utaona Nabi anafanya Maamuzi...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Hello JF Nimetumia namna tofauti katika kichwa cha habari ila lengo ni kutaka tujadili kuhusu movies za kizungu ambazo na nyingi hukusanya jumbe za maisha ya baadae mfano "Contingence" ni movie...
1 Reactions
3 Replies
532 Views
Ni lini timu yetu ya taifa itafika mbali? maana ikifanya vizuri mara moja tu, wanasiasa wote wanakuwa motivational speakers, mara huyu anatoa sijui tiketi, huyu sijui motisha, mara huyu anatoa...
0 Reactions
0 Replies
459 Views
1.Eeh Bwana uniinue 2.Narudi Njoo na ngoma ya kitabu chako. Barikiwa sana mtoto wa Mungu. Lets Go!
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Jamaa anajua sana kuigiza na ana muonekano fulani wa kisanii lakini sijui anafeligi wapi yani. Nahisigi alikuwa na potential kubwa zaidi ya hapa alipofika since the wire HBO lakini sijui...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom