Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,850
- 2,355
Mwanzoni nilikua napenda kuishi sehemu ambayo haina makelele lkn sasa nimekuwa mtu wa stress sana siishi na familia yangu nimekuwa mtu wa mawazo sielewi hatma yangu kuondokana na stress nakunywa pombe nimekua mlevi lkn nikikaa na wife sinywi kwanza ninanawiri napenda sana kuishi na familia