Msaada wa series zenye maudhui bora kwa kila rika

Pettymagambo

JF-Expert Member
Aug 21, 2017
1,423
7,911
Wanajamvi heri ya pasaka na mfungo kwa islamic.

Direct kwenye mada, wakuu ukiacha series zilizo sifiwa sana kama Iris na Game of Throne ambayo nilijaribu kuifuatilia ila maudhui yake yakanifanya niitupilie mbali hivyo nikawa nimebaki na seriez 3 pekee ambazo nilijitahidi kujikaza mpaka mwisho kwani sio mpenzi sana.

Ukiondoa Lord of The Ring, Jumong, mwaka jana niliangalia Squid Game ambayo ilinivutia sana japo sikuicheki mpaka mwisho, series hii inamaudhui poa kabisa na inavuta hisia kwa rika zote si mtoto tu, hata mzee kama mimi anaenjoy.

Basi kwa mapumziko haya mafupi napenda mnitajie series japo 3 tu zenye kuvuta hisia kama Squid Game kwa walioina, asanteni.
 
Wanajamvi heri ya pasaka na mfungo kwa islamic.
Direct maadani, wakuu ukiacha series zilizo sifiwa sana kama iris na game of throne ambayo nilijaribu kuifuatilia ila maudhui yake yakanifanya niitupilie mbali hivyo nikawa nimebaki na seriez 3 pekee ambazo nilijitahidi kujikaza mpaka mwisho kwani sio mpenzi sana.

Ukiondoa load of the ring, jumong, mwaka jana niliangalia squid game ambayo ilinivutia sana japo sikuicheki mpaka mwisho, series hii inamaudhui poa kabisa na inavuta hisia kwa rika zote si mtoto tu, hata mzee kama mimi anaenjoy.

Basi kwa mapumziko haya mafupi napenda mnitajie series japo 3 tu zenye kuvuta hisia kama squid game kwawalioina, asanteni.
HAKUNA!!
 
Mimi niliangalia series ila kitambo sana na nyingi zilikuwa na maudhui mazuri ntazitaja japo sizukumbuki maana nimeziona kabla ya 2016 kuendelea hapo sijawahi kuangalia series yeyote ile nasikia tu majini.

1.Merlin
2.Legens of the seeker ( ila hii kuna wanawake nakumbuka walikuwa wanasagana baadhi ya vipande wale wanaovaa manguo mekundu)
3.Legend of iljimae
4.The giant
5.Athena
6.Iris
 
Mimi niliangalia series ila kitambo sana na nyingi zilikuwa na maudhui mazuri ntazitaja japo sizukumbuki maana nimeziona kabla ya 2016 kuendelea hapo sijawahi kuangalia series yeyote ile nasikia tu majini.

1.Merlin
2.Legens of the seeker ( ila hii kuna wanawake nakumbuka walikuwa wanasagana baadhi ya vipande wale wanaovaa manguo mekundu)
3.Legend of iljimae
4.The giant
5.Athena
6.Iris
Nasikia the giant wanaisifia sana pamoja na iljimae, ila iris nilicheki mwanzo sikuielewa kabisa, yaani napenda series ambayo ukianza kucheki, awepo mtoto, awepo kijana ama mzee asitokee wa kusema tunataka kaamna au ottoman.
 
Hizo series kama humwamini aliyependekeza zikague kwanza. Mi siku hizi nikipata wageni naweka TBC1 au Safari au BBC, AL-JAZEERA.
Nikweli mkuu maana niliwahi kuaibika mbele ya bi mkubwa, wadogo zangu na wake zao pamoja na watoto, siku nilipolazimisha tucheki game of thrones kwani ilikuwa inasifiwa sana.
Mara watu wananyanduana live, yaani mtu kainamishwa waziwazi.
 
Nasikia the giant wanaisifia sana pamoja na iljimae, ila iris nilicheki mwanzo sikuielewa kabisa, yaani napenda series ambayo ukianza kucheki, awepo mtoto, awepo kijana ama mzee asitokee wa kusema tunataka kaamna au ottoman.
The giant nzuri sana nliona kama mwaka 2015 au 2016 yaani inaonyesha mashindano ya makampuni ya ujenzi na figisu ,mauaji ,utengano familia mpaka wanakuja kujuana.

Iljimae yaani kila kipande kimekamilika yaani mtoto kama ana maajabu fulani mara leo kahama kijiji hiki anaweza kusave tatizo au kuacha balaa😂😂😂nzuri sana aisee
 
The giant nzuri sana nliona kama mwaka 2015 au 2016 yaani inaonyesha mashindano ya makampuni ya ujenzi na figisu ,mauaji ,utengano familia mpaka wanakuja kujuana.

Iljimae yaani kila kipande kimekamilika yaani mtoto kama ana maajabu fulani mara leo kahama kijiji hiki anaweza kusave tatizo au kuacha balaa
 
Back
Top Bottom