Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Buriani waungwana, limenipata dubwana, Mapema tunaagana, Ningali bado kijana, Maumivu yanibana, kuandika nangangana, Buriani waungwana, limenipata dubwana, Sina wa kumpa lawama, hata Zerea...
0 Reactions
8 Replies
536 Views
Morng Africa. Mimi ninyimbo zangu bora kabisa ni hizi 1) Moyo wangu umekuambia 2) Nalisema nitayakili maasi yangu kwa bwana 3) Fahari yetu ni msalaba 4) Ikatoka damu ikatoka maji pia 5) Mama pale...
1 Reactions
0 Replies
819 Views
Katika pita pita zangu YouTube nilikua nimeumiss wimbo wa Ambwene mwasonge "unikumbuke" maana hua navutiwana Melody yake pamoja na ujumbe ndani ya wimbo huo. Wakati nasikiliza wimbo unao simulia...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Kuthibitisha kuwa kijana bado ana njaa ya mafanikio,tarehe 22 July ataachia project aliyoifanya na msanii kutoka Marekani,Future. Diamond Platnumz ameyasema hayo kupitia account yake ya...
7 Reactions
67 Replies
12K Views
Kwanza tu jina lake ukilisikia limekaa kibabe. Mandonga Mtu Kazi. Huyu jamaa amewafanya watu wengi wafatilie ngumi tofauti na ilivyokuwa awali. Hapa naongelea wale watu wasiopenda huu mchezo hasa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana. Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Habari ndio hiyo hapo juu. Na utu uzima wangu huu nimelia michozi. Teknolojia ya juu mno.
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Mfano nitajuta -yamoto band na nakukumbuka -Diamond beat ina ukakasi Socco ya wizkid na chombo ya rayvany kuna ukakasi Swagilie ya weusi na started from bottom kuna ukakasi ......endeleza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mahali nimekaa napata kilaji, kuna nyimbo zimepigwa hata sijaamini. Hii ni aina ya miziki ambayo ni ngumu kuisikia mitaani, kuna jamaa yangu aliwah niambia kuwa nasikiliza nyimbo ambazo...
12 Reactions
33 Replies
2K Views
MIKWAJU 50 KUTOKA KWA DUNGA Nilianza KUSIKIA kazi zake akiwa na ndugu yake aitwaye SHAKII, huku wakisuka MIDUNDO mikali. Miaka ikaenda, nikamsikia akifanya ushirika na LAMAR pale 41 RECORDS...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa tuliokuwa tunafuatilia kwa karibu Hip Hop ya Bongo tunaikumbuka vizuri Mixtape ya Antivirus. Hii ni mixtape iliyokuwa engineered na Joseph Sugu na wenzake wakiwepo Mapacha, Rado na wengine...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
KISIWA CHENYE HAZINA Mtunzi: Robert Louis Stevenson,1883. Mtafsiri: F johnson na Edwin W Brenn, 1928. Marekebisho: Pictuss, 2021. Pictuspublishers@gmail.com Kinapatikana ndani ya maktaba app by...
8 Reactions
49 Replies
12K Views
Kwanza nianze Kwa kutoa disclaimer kisa hiki ni Cha kweli majina yaliyotumika hapa ni ya kweli bila kubadili chochote ilirekodiwa NAMI nikaihamisha kimaandishi kama ilivyo. MWANZO Kwa majina...
11 Reactions
66 Replies
9K Views
HANDSOME BOYS...[emoji7] SONGA NAYO........... "Maisha yangu yamekuwa ya mapito mateso na furaha pia, vyote vimekuwa vikichukua nafasi katika maisha yangu na kunifanya niwe imara na kuwa na...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Ten years ago today, Ariana Grande released ‘The Way’ featuring Mac Miller. The lead single off ‘Yours Truly’ was the megastar’s mainstream debut, peaking at #9 on the Billboard Hot 100. It was...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Unafaa uzitazama wikendi hii. 1. The Equalizer Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Weekend ikiwa inakaribia, Kwa sisi wapenzi wa Movies ambao tunafanya shughuli zetu nyingine mbali mbali huwa inakuwa ngumu kupata Movies sahihi za Kuangalia kwa sababu hatuna vyanzo wala muda wa...
3 Reactions
6 Replies
668 Views
Mtunzi : Eric J Shigongo SEHEMU YA 01 Sauti kubwa ya muziki ilikuwa ikisikika, huku watu wengi wakionekana kurandaranda huku na kule katika eneo maarufu la Sinza Afrikasana jijini Dar es...
7 Reactions
180 Replies
40K Views
Nimewasamehe wale mashabiki maandazi mlionioponda sana kwenye nyuzi zangu za michezo hasa tathmini na maono yangu juu ya timu yenu. Sasa leo kwa uzalendo mkuu napiga nyanga mshinde walau moja au...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Back
Top Bottom