Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,532
Hamjambo humu ndani😉nimewamiss haki tena.
Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka.
Huu wimbo Unanifanya mpkaa nitamani kuingia mapenzini hakyanani tena❤️🔥
Nina mpango wa kuupiga huu wimbo usiku mzima wa leo.
Drop ngoma yako ulisiyoichoka kuisikiliza na utuambie ni kwa nini unaipenda🤸♀️🤸♀️
Ila Rama Dee anasauti ya mahaba aisee🥰🥰kama ana mafua hivi 😁kama hataki kuimba,basi tu ili mradi alete usumbufu tu🫣🫣
Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka.
Huu wimbo Unanifanya mpkaa nitamani kuingia mapenzini hakyanani tena❤️🔥
Nina mpango wa kuupiga huu wimbo usiku mzima wa leo.
Ila Rama Dee anasauti ya mahaba aisee🥰🥰kama ana mafua hivi 😁kama hataki kuimba,basi tu ili mradi alete usumbufu tu🫣🫣