Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Meneja wa muda mrefu wa kundi la muziki wa kizazi kipya la Tiptop Connection,Abdul Taletale aka Abdul Bonge ameaga dunia. Abdul Taletale ambaye ni kaka wa Babu Tale atazikwa mkoani Morogoro.
Marehemu Abdul Bonge ameibua na kukuza vipaji kama vya Madee,Z-Anto na Tundaman. Poleni wafiwa wote na wadau wa muziki. Lala salama Abdul Bonge!
Marehemu Abdul Bonge ameibua na kukuza vipaji kama vya Madee,Z-Anto na Tundaman. Poleni wafiwa wote na wadau wa muziki. Lala salama Abdul Bonge!