Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Kama kuna kundi lilikuwa linafanya Hip Hop mpaka unatikisa kichwa wakati wa kusikiliza basi ilikuwa Nako2Nako Soldiers na ukisikia jinsi mtu kama Lord Eyes anavyo flow yaani unahisi uko dunia nyingine.
Kwa wapenzi wa Hip Hop ngumu hili kundi lilitubeba sana. Sasa sijui bo.ya gani aliyetoa wazo la kuunganisha kundi hili na lile la warembo wa River Camp Soldiers na kuunda kundi uchwara la WEUPE. Aliyetoa wazo hili ana laana. Hebu wale wadau wote mliyokuwepo Nako2Nako tokeni huko mlipo mrudi tuendelee na safari.
Mkiwa tayari njooni PM niwaambie pakuanzia hakuna wakuwabania hapa bongo kama mko tayari mje PM. Haiwezekani mpotezwe kijinga hivi.
HII HAPA KING ALIIPIGA BAADA YA CHANGAMOTO YA KUFUNGWA
Kwa wapenzi wa Hip Hop ngumu hili kundi lilitubeba sana. Sasa sijui bo.ya gani aliyetoa wazo la kuunganisha kundi hili na lile la warembo wa River Camp Soldiers na kuunda kundi uchwara la WEUPE. Aliyetoa wazo hili ana laana. Hebu wale wadau wote mliyokuwepo Nako2Nako tokeni huko mlipo mrudi tuendelee na safari.
Mkiwa tayari njooni PM niwaambie pakuanzia hakuna wakuwabania hapa bongo kama mko tayari mje PM. Haiwezekani mpotezwe kijinga hivi.
HII HAPA KING ALIIPIGA BAADA YA CHANGAMOTO YA KUFUNGWA