RIWAYA: KIROBA CHEUSI
MTUNZI: LAURA PETTIE
SEHEMU YA KWANZA
1
PALISHAKUCHA.
Pakuche mara ngapi?
Ni vile tu huyu Morena alilala chakari. Asubuhi hii ya saa nne, kwake ilikuwa ingali liamba. Alilala...
Hii ndo list Kali inayotamba kwasasa kwenye playlist yangu ya bongo flavor(kizazi cha Sasa tu), list ipo ndani ya hiyo miaka haitatoka nje!.
tulieni tuwafundishe mziki kwa wale msiojua mziki...
Kila nikiangalia hii video nafurahi, yule dada aliweza kuinogesha, haimaanishi kuna cha ajabu amekifanya ila mimi naona kuna cha utofauti na mavideo queen wengi tunao waona.
.
Naomba kuuliza ni...
yangasc
THANK YOU @miltonnienov
Tunamshukuru Kocha wa magolikipa Milton kwa mchango wake katika kipindi chote alichofanya kazi kwenye benchi la ufundi la Klabu yetu na tunamtakia kila la kheri...
DEAR SON#
Nilipanga uje mapema iLa mipango ya Mungu na..
Ni kweli nilitafuta kwa jasho na ulikuja kwa uchungu na..
Muda ni asset ila haidumu na inakuja kimafungu..
kama kuna kosa kubwa nilifanya...
DEAR SON#
Nilipanga uje mapema iLa mipango ya Mungu na..
Ni kweli nilitafuta kwa jasho na ulikuja kwa uchungu na..
Muda ni asset ila haidumu na inakuja kimafungu..
kama kuna kosa kubwa nilifanya...
MAPICHA YANGU...
THE RAP MONSTER, LYATUU
Ee bwana weee! Huyu niliye naye pichani alikuwa bonge la mtu kwenye rap na mwonekano wake.
Picha linaanza, jamaa ni mtu wa chuga, rudi nyuma mpaka kwa...
Simulizi Ya Maisha na Upelelezi; ISHINI BADALA YANGU WANANGU
Mwandishi; GILBERT EVARIST MUSHI
PHONE: 0765824715
Sehemu ya Kwanza
Sauti ya maji ndiyo iliyokuwa ikisikika ndani ya masikio yake...
Heat! Of course, it's the first thing my sensitive skin felt. The temperatures which could worsen hell's description and make the whole mankind to instantaneously cease sinning. Secondly, stale...
Idea ya wimbo huu ni unique mtunzi ni kama ana maswali kwa mwenyezi mungu hususani yanayohusu kifo kwa nini watu wema wanakufa then wabaya wanabaki sasa katika wimbo wake akapendekeza watu...
UTANGULIZI
Ni hadithi inayohusu kijiji kilichopo mkoa wa simiyu wilaya ya bariad ambacho kiko umbali wa takribani kilometa 12 za mlaba kutoka simiyu mjini, kama hili jina litakuwa geni kwako na...
Shirikisho la Watumiji Huduma la Kenya (COFEK) limetangaza kuchukua uamuzi baada ya kupokea malalamiko ya mashabiki walioonesha kutoridhishwa na kiwango cha tamasha hilo linalotajwa kukumbwa na...
Karibuni Tena katika story hii
Kama kawaida ni mwanzo mpaka mwisho hakuna kuishia njiani
Kutoka "madam president" na ",kesi ya Mzee Mnyoka"
Ssa Leo tunaanza kisa kingine Cha Mpangaji
Mtunzi ni...
Habari wapenzi wa movie, ni mwaka mwengine wa 2023 kuna movie mbalimbali kali zinategemewa kutoka huu mwaka kwa wapenzi wa movie huu mwaka ni wamoto sana
Mwaka 2022 zimetoka movie kali sana...
Dogo anajua sana nimekuwa nikimfuatilia aisee noma. Yeye ana flow za elimu tu hana kujisifia wala kumsema mtu.
Ana kwambia kwenye safari kuna matuta cha msingi saa 24 tumepewa wote..
Jaribu...
Maskini Raiden (Mungu wa mvua) anapigwa mbaya na Scorpion mpala anakufa sijui ni motokombati ipi ile.
Raiden huwa sio mtu wa kupigana yeye anatoaga onyo kumbe mikwara tu kakutana na Scorpio...
Ebu tuongee hapa wakuu!
.
Hivi kwenye Hii Collabo ya Dhahabu nani alimfunika mwenzake!
.
Dully ft Joslin,Mr Blue.
.
Nani alifunika kati ya Joslin na Blue??
Na: Mwalimu Makoba
"NI hadithi kama hadithi za sungura na fisi. Haihusiani na tukio lolote halisi."
Sehemu ya Kwanza
Hapo zamani za kale watu kutoka mbali waliwavamia Wenyeji. Watu hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.