Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,849
- 2,442
Kiukweli inanishangaza sana huyu chama mechi kubwa anakuwa kama panya aliye toswa kwenye bakuli la maji kalowa,hajiwezi kabaki kutapa tapa,shida ni nini uzee au pensheni zimemzidia?
ile ilikuwa ndondo mbona kwa raja kafeli term zote mbili amekuwa wa hovyooAcha wivu horoya ilikuwa mechi ndogo
Horoya unaijua au unaandika uchokoile ilikuwa ndondo mbona kwa raja kafeli term zote mbili amekuwa wa hovyoo
Unakatwa na Simbachoko babu yako mzaa babaako choko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]