Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu kwema? Nimetoka kuangalia tangazo la huyu binti anayerudi shule baada ya kupata ujauzito, na kwamba ni kweli haki elimu ni matangazo bora zaidi ya Elimu kwa miaka mingi. Ni nani...
1 Reactions
2 Replies
536 Views
ENGINEER PETII ( TRUE STORY) Nilikua Kijana wa Miaka 21. Elimu yangu ya Form 4 tu. Nilijishuhulisha na Uuzaji wa Spare za Magarii Kwenye Duka la baba yangu Mjini Dodoma. Nilipendelea sana...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Best International Act Aya Nakamura (France) Ayra Starr (Nigeria) Burna Boy (Nigeria) Central Cee (UK) Ella Mai (UK) K.O (South Africa) L7nnon (Brazil) Stormzy (UK) Tiakola (France) Uncle...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini Wakuu, Samahani nahitaji kuutambua huu Wimbo kwa Majina.
0 Reactions
1 Replies
563 Views
MTUNZI: SHAABAN ROBERT. WACHAPISHAJI : Tanzania Publishing House. Dar es Salaam. SURA YA 1 Mfalme Rai Rai, mfalme wa Ughaibu , alikuwa mfalme namna ya peke yake duniani. Alikuwa na tabia...
4 Reactions
98 Replies
29K Views
Juzi kati nilianza kufwatilia hii show, inanoga kuicheki ila concept yake mna dhani kweli watu wanaishia kuoana baada ya kukutana hapo? au wanaigiza tu? Kuna upendo hata?
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama wangekuwa au wana akaunti YouTube, wangekuwa na mamilioni ya viewers na wangekuwa wanajiandaa kuvuna mamia ya mamilioni. Nadhani watu wameona kipaji cha muziki cha hali ya juu, ni wazi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Uzi huu ni kwa ajili ya Kuandika Mstari wa Nyimbo yotote Iliyowahi Kuvuma Tanzania au East Afrika halafu Utajibiwa na wataalamu kuwa ni nani aliyeimba wimbo huo. Nitaanza mimi nikiona mmeshindwa...
1 Reactions
6 Replies
659 Views
Kwa wale wapenda series basi nadhani hiki chuma cha night night ilisukwa ikasukika haswa kama ulipenda jack ryan basi na hii ipende watoto wa mjini wanasema ishi nayo [emoji16][emoji91] Series...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amemtaka msanii wa miondoko ya HipHop nchini kuachana na muziki kama ataendelea kuikosoa serikali. Kauli ya Mwakyembe imekuja...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
bonizacharia.bz@gmail.com. Wamekuwepo wengi katika tasnia ya muziki hasa muziki wenye radha halisi ya kiafrika, na wamesaidia mengi katika kutangaza utamaduni wenye maadili ya kiafrika, lakini...
4 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimejikuta kuwapenda hawa jamaa kwa story zao wamazodai ni za kweli ingawaje nyingi ni za kufikirika. Wewe unamkubali nani?
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta site nzuri kwa ajili ya kudownload movie kwenye simu.
1 Reactions
11 Replies
43K Views
Habari za muda huu waungwana? Naomba mwenye wimbo huo hapo juu anisaidie. Nadhani uliimbwa na Mchinga Sound kama sijakosea. Nitashukuru sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SITALISAHAU KABURI LAKO MADALITSO Mwandishi:Saadala Muaza --- Ilikuwa ni saa kumi na mbili takribani na dakika arobaini na saba za jioni.Sauti yako ikapenyeza hadi kwenye ngoma za sikio langu...
2 Reactions
1 Replies
642 Views
Huyu mwanamziki alimaanisha nini kusema vavavayo?
1 Reactions
8 Replies
935 Views
Jamani mwenye kulifahamu hili kundi la Muziki wa Kuiga lililokuwa na Maskani yake mjini Mbeya lilikuwa likiimbo nyimba za english hasa R&B Kwa lugha ya kiswahili huku wakiweka ujanja ujanja hadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sijui kama ni jina hilo au la,ni kile kipindi cha yule babu anasimulia hadithi na maneno mengi ya kuchekesha .
0 Reactions
2 Replies
590 Views
Hii ni story tu kama story zingine, ila unaweza isoma. Tunapata uzoefu wa maisha kupitia watu na story zao. Yote ya hapa ni story tu. Ila si mbaya ukasoma. Ina sehemu tatu, sehemu ya pili ndio...
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Kila nikiangalia game kwa angle zote, na kwa wataalam wote, matokeo yanasomeka USMA 1-3 YANGA. Kila mkulungwa niliyemuuliza anajibu Yanga tayari ameshachukua Kombe hilo. Nami nawatangaza RASMI...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom