Wakuu kwema?
Nimetoka kuangalia tangazo la huyu binti anayerudi shule baada ya kupata ujauzito, na kwamba ni kweli haki elimu ni matangazo bora zaidi ya Elimu kwa miaka mingi.
Ni nani...
ENGINEER PETII ( TRUE STORY)
Nilikua Kijana wa Miaka 21. Elimu yangu ya Form 4 tu. Nilijishuhulisha na Uuzaji wa Spare za Magarii Kwenye Duka la baba yangu Mjini Dodoma.
Nilipendelea sana...
Best International Act
Aya Nakamura (France)
Ayra Starr (Nigeria)
Burna Boy (Nigeria)
Central Cee (UK)
Ella Mai (UK)
K.O (South Africa)
L7nnon (Brazil)
Stormzy (UK)
Tiakola (France)
Uncle...
MTUNZI: SHAABAN ROBERT.
WACHAPISHAJI : Tanzania Publishing House. Dar es Salaam.
SURA YA 1
Mfalme Rai
Rai, mfalme wa Ughaibu , alikuwa mfalme namna ya peke yake duniani. Alikuwa na tabia...
Juzi kati nilianza kufwatilia hii show, inanoga kuicheki ila concept yake mna dhani kweli watu wanaishia kuoana baada ya kukutana hapo? au wanaigiza tu?
Kuna upendo hata?
Kama wangekuwa au wana akaunti YouTube, wangekuwa na mamilioni ya viewers na wangekuwa wanajiandaa kuvuna mamia ya mamilioni.
Nadhani watu wameona kipaji cha muziki cha hali ya juu, ni wazi...
Uzi huu ni kwa ajili ya Kuandika Mstari wa Nyimbo yotote Iliyowahi Kuvuma Tanzania au East Afrika halafu Utajibiwa na wataalamu kuwa ni nani aliyeimba wimbo huo.
Nitaanza mimi nikiona mmeshindwa...
Kwa wale wapenda series basi nadhani hiki chuma cha night night ilisukwa ikasukika haswa kama ulipenda jack ryan basi na hii ipende watoto wa mjini wanasema ishi nayo [emoji16][emoji91]
Series...
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amemtaka msanii wa miondoko ya HipHop nchini kuachana na muziki kama ataendelea kuikosoa serikali.
Kauli ya Mwakyembe imekuja...
bonizacharia.bz@gmail.com.
Wamekuwepo wengi katika tasnia ya muziki hasa muziki wenye radha halisi ya kiafrika, na wamesaidia mengi katika kutangaza utamaduni wenye maadili ya kiafrika, lakini...
SITALISAHAU KABURI LAKO MADALITSO
Mwandishi:Saadala Muaza
---
Ilikuwa ni saa kumi na mbili takribani na dakika arobaini na saba za jioni.Sauti yako ikapenyeza hadi kwenye ngoma za sikio langu...
Jamani mwenye kulifahamu hili kundi la Muziki wa Kuiga lililokuwa na Maskani yake mjini Mbeya lilikuwa likiimbo nyimba za english hasa R&B Kwa lugha ya kiswahili huku wakiweka ujanja ujanja hadi...
Hii ni story tu kama story zingine, ila unaweza isoma. Tunapata uzoefu wa maisha kupitia watu na story zao.
Yote ya hapa ni story tu. Ila si mbaya ukasoma. Ina sehemu tatu, sehemu ya pili ndio...
Kila nikiangalia game kwa angle zote, na kwa wataalam wote, matokeo yanasomeka USMA 1-3 YANGA.
Kila mkulungwa niliyemuuliza anajibu Yanga tayari ameshachukua Kombe hilo.
Nami nawatangaza RASMI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.