LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Bayser, umeelewa kauli ya mkeo kama nilivyo ielewa mimi ?
Mke wa Blue amenukuliwa akisema;
"Mimi namsapoti mume wangu kwasababu tumejenga nyumba nane kupitia muziki, kwahiyo mimi nasapoti sana kazi yake kwasababu tunafanikiwa kupitia muziki wake, muziki unalipa na una hela"
"Zamani wanawake walikuwa wanampenda sana Mr. Blue, yani alikuwa wa moto kipindi kile kama alivyo Diamond Platnumz sasa hivi, ila namshukuru Mungu saivi katulia"' amesema Mke wa Mr.Blue. "
Elewa vizuri hiyo sentensi iliyo kolezwa. Ikumbukwe pia, blue ana bahati mbaya sana na Diamond kwa wanawake anao toka nao kimapenzi. Na haya sio maneno yangu bali ni maneno ya Blue mwenyewe akifanya mahojiano kwenye sporah tv show mwaka 2013, ambapo alihoji " Diamond ana nini? mbona kila demu ninae toka nae na yeye anatoka nae?
1. Blue alitoka na Wema, Diamond akatoka na Wema.
2. Blue akatoka na Naj, Diamond akatoka na Naj pia.
3. Kituo kinacho fuata? nipo nimekaa pale mniite GENTAMYCINE
Mke wa Blue amenukuliwa akisema;
"Mimi namsapoti mume wangu kwasababu tumejenga nyumba nane kupitia muziki, kwahiyo mimi nasapoti sana kazi yake kwasababu tunafanikiwa kupitia muziki wake, muziki unalipa na una hela"
"Zamani wanawake walikuwa wanampenda sana Mr. Blue, yani alikuwa wa moto kipindi kile kama alivyo Diamond Platnumz sasa hivi, ila namshukuru Mungu saivi katulia"' amesema Mke wa Mr.Blue. "
Elewa vizuri hiyo sentensi iliyo kolezwa. Ikumbukwe pia, blue ana bahati mbaya sana na Diamond kwa wanawake anao toka nao kimapenzi. Na haya sio maneno yangu bali ni maneno ya Blue mwenyewe akifanya mahojiano kwenye sporah tv show mwaka 2013, ambapo alihoji " Diamond ana nini? mbona kila demu ninae toka nae na yeye anatoka nae?
1. Blue alitoka na Wema, Diamond akatoka na Wema.
2. Blue akatoka na Naj, Diamond akatoka na Naj pia.
3. Kituo kinacho fuata? nipo nimekaa pale mniite GENTAMYCINE