dafity
JF-Expert Member
- Aug 16, 2008
- 1,881
- 2,091
Kuna mtu aliwahi kuniambia Jina lake ni EDWARD SHEKIONDO lakini akalifanyia usanii akajiita EDDY SHEGGY. Namzungumzia kaka wa Christian Sheggy, mwanamuziki wa zamani wa Orchestra Super Rainbow, na Washirika Tanzania Stars (Watunjatanjata). Ameshatangulia mbele za haki. Anayejua UHALISI WA JINA lake atujuze ili kuweka kumbukumbu sahihi.