Afande Sele apewe heshima yake mapema bado yungali hai

Afande Sele apewe heshima yake mapema bado yungali hai

MLUGURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
3,036
Reaction score
3,966
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii, hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga.

Kuna ile inaitwa heshima kaimba na chelea Man, jamaa anaimba vitu matured kabisa.
 
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii,hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga.

Kuna ile inaitwa heshima kaimba na chelea Man,jamaa anaimba vitu matured kabisa.
Afande sele nyimbo zake nyingi ziko ahead of time ndo maana wengi hawamuelewi. Kwa mfano pia ile ngoma yake inaitwa MBELE YAKO NYUMA YANGU! Aisee jamaa animba vitu relevant sana.
 
Afande sele nyimbo zake nyingi ziko ahead of time ndo maana wengi hawamuelewi. Kwa mfano pia ile ngoma yake inaitwa MBELE YAKO NYUMA YANGU! Aisee jamaa animba vitu relevant sana.
Jamaa ni true rastafarian.
 
hv bado kabaki na msimamo wake kuwa akifa APIGWE KIBIRITI ama
 
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii, hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga.

Kuna ile inaitwa heshima kaimba na chelea Man, jamaa anaimba vitu matured kabisa.
.....nyimbo ya dini...... ❌
....wimbo wa dini ✔️
......nyimbo hii/hii nyimbo❌
........wimbo huu/huu wimbo✔️

Wimbo (mmoja)
Nyimbo (nyingi)
 
.....nyimbo ya dini...... [emoji777]
....wimbo wa dini [emoji3581]
......nyimbo hii/hii nyimbo[emoji777]
........wimbo huu/huu wimbo[emoji3581]

Wimbo (mmoja)
Nyimbo (nyingi)
Sawa mkuu,embu nidondoshee nyimbo moja ya huyu mkongwe unayoikubali
 
Sawa mkuu,embu nidondoshee nyimbo moja ya huyu mkongwe unayoikubali
Dah!! Kazi ya ualimu ni ngumu kweli kweli.

Mimi ninazikubali nyimbo zake nyingi tu! Kuanzia Darubini, Mtazamo alioshirikiana na Profesa J, lakini pia ule wimbo alioimba na Ditto wa Dunia ina mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom