Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Idadi ya wanaugua Magonjwa hatari yasiyoambukiza ikiwemo Kiharusi, Shinikizo la Juu la Damu, Maradhi ya Moyo imetajwa kuongezeka kwa kasi nchini ambapo wengi wao ni wenye miaka kati ya 20 hadi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilijua ni Biashara tu...kila mtu anapost...zimebaki sijuwi siku...Leo nimebahatika kuskiza nyimbo yake mpya... ni tamu sanaaa.... Leo Lady Jaydee ameachia wimbo wake mpya baada ya kimya cha muda...
9 Reactions
438 Replies
79K Views
Bado sijapata Title maalum ya hii Simulizi twende nayo hivyo hivyo. UTANGULIZI Kuna jamii ya watu iliyozuka na kuleta sintofahamu miongoni mwa jamii nyinginezo, watu wanaozisaka pesa kwa namna...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hi my name is Tony Stark Mimi ni mpenzi sana wa movie ila ninazo pendelea zaidi ni sci-fi japo wengine husema hazina mbele Wala nyuma wengine usema za kitoto ila Zina mafundisho makubwa...
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Nyota huyo kutoka Nigeria ameibuka mshindi na kuwabwaga mastaa wengine ambao Aya Nakamura, Ayra Starr, Central Cee, Ella Mai, K.O, L7nnon, Stormzy, Tiakola na DJ Uncle Waffles. Beyonce ameshinda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimetizama movie nyingi sana kali, ila hii Apocalypto 2006 ni bonge la movie.
20 Reactions
142 Replies
12K Views
Habari wana jamvi, Mie bongo fleva nimeanza kuifuatilia kitambo sana enzi za bdp na sosy b na mpaka sasa bado naisikiliza nimebahatika kuviona vipaji vingi kwenye hii tasnia waimbaji kwa maraper...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii nchi enda wapi aise? Hatuna wasomi? hatuna wasanii wanaoweza kuimba nyimbo kulingana na matukio yanayoendelea? Msaniii mzuri ni yule anaeweza kubadilika Kwa tunzi zinazoweza badilika...
1 Reactions
8 Replies
993 Views
Ishi ukiamini ipo siku hautapata nafasi hiii unayo sasa, leo wewe mdada unaweza kukaa na na nguo yoyote beach ukiogelea ipo siku utazeeka hautaweza. Leo unavaa nguo yoyote vimini nk kuna siku...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Amani iwe juu yenu wana wa Mungu. Nina miezi kama mitatu sasa, nyimbo za wahusika zimekuwa zikijirudia katika orodha ya nyimbo ninazosikiliza mara nyingi. Papi Clever na Dorcas ni wanandoa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia ya wasanii wa singeli kuimba kauli tata na watu kuchukulia poa. Mfano unakuta mwanaume anaimba “mume wa mtu sumu ila kwangu mtamu” hivi hii iko sawa kweli? Kwanini mamlaka...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Serikali inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya filamu nchini kupitia Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania ambao miongoni mwa wanufaika wa mfuko huo ni wasanii wa filamu ili kuboresha kazi...
2 Reactions
1 Replies
821 Views
Kwa wale wazee wenzangu, vijana wa miaka ile, naomba mniwekee track izi kama mtakua Nazi 1.GADO ...ZAY B FT INSPECTOR HARUN 2.MTULIZE...MABAGA FRESH FT NATURE 3. KOSA LA MAREHEMU....ORIGINAL...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Mimi ni muumini wa hip hop haswa zinazoelezea ukweli mchungu katika maisha haya. Moja ya ngoma zinazoelezea maisha kwa uhalisia ni Hii hapa ya Jay z na mr hudson. Moja ya ukweli mchungu ni kwamba...
8 Reactions
11 Replies
5K Views
hizi ndizo nyimbo bora 20 za mapenzi zaa majuu ....kama umekubali gonga like kama unapinga hebu sema ipi itolewe na ipi iwekwe 20. Soledad by Westlife 19. My heart will go on by Celine dion...
19 Reactions
207 Replies
140K Views
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa Misri. Baada ya trailer hiyo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikuwa...
15 Reactions
213 Replies
16K Views
Wakati umaarufu wa muziki wa Afrobeats ukiendelea kukua duniani kote, Mtandao wa Spotify umezindua jukwaa jipya ambalo litakuwa na habari zote za Wasanii na Maendeleo katika aina hiyo ya Muziki...
1 Reactions
0 Replies
953 Views
Yunge kamuua Mzee Buhabi Yunge kamuua Nzehe Yunge kamuua Tatu Yunge kamuua Yunge mdogo. Kabaki Yunge na bibi na wachawi wengine kijijini...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni nchi gani hapa ulimwenguni inaongoza kwa utoaji wa seasons/series kali kuliko nchi nyingine? Je, nchi hiyo ni _______. ? 1. MAREKANI 2. INDIA 3. CHINA 4. UTURUKI 5. KOREA 6. UFILIPINO 7. TAIWAN
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom