Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hatimaye mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba kwa dakika mbili na sekunde kama 39 hivi lakini nimependa...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Miss Philippines Pia Alonzo Wurtzbach akionyesha mshituko baada ya kutangazwa kuwa ni yeye ndiye ameshinda. Miss Universe2015 imezua kituko cha Mwaka baada ya Mc Steve Harvey kumtangaza kutoka...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Jamaa naona kaenda kuwaambia wapiga kura waliomnyima Ubunge kwamba hakuwa na shida ya pesa ila uwakilishi... Ila wachagga wabishi sana, huyu jamaa angekuwa anagombea Mtimbwilimbwi angepita kwa...
1 Reactions
63 Replies
23K Views
Kati ya nagharamia kutoka kwa king zamunda na mkali wa masauti Bella, na hii utanipenda kutoka kwa king of jungle aka simba mondi ipi ni habari ya mjini
1 Reactions
57 Replies
11K Views
Tarehe 26 vepee..king Kiba Vepee Yani i can't wait..tukutane escape ka Vepee Kwani we vepee😂😂😂😂😂
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kwa wapenzi wa muziki, tukiweka figisu figisu pembeni. Kwa moyo mkunjufu kabisa napenda kumpa pongezi Ally Kiba kwani kwa kiasi fulani amajitahidi kujibu lawama kwa vitendo kwenye hii video...
3 Reactions
128 Replies
15K Views
Fasihi ni kazi ya sanaa inayotumia lugha kufikisha ujumbe kwa jamii.Kuna fasihi andishi na fasihi simulizi.Nyimbo ni sehemu ya fasihi simulizi.Fasihi ni zao la jamii,kwa sababu hujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
leo ni birthday ya tudy naona mastaa wengi wanamuwishi kua hbd shem lake anayemjua atupe ubuyu na sisi Xmass ii tule vzr
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Tokea wimbo umewekwa youtube umefikisha views milioni moja baada ya wiki moja huyu mtu ameshindikana kabisa Diamond Platnumz - Utanipenda (Lyric with English?: http://youtu.be/LSk_M7d_OWM
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Mwaka 2016 ni mwaka wa mafanikio kwa wasaniii hasa wa muziki kimapato kwa nyimbo zao mbalimbali kuanza kufaidika nazo Je wasanii wa sanaa nyingine watafaidikaje ? Lakini mwaka 2015 unaisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kipindi cha mkasi kilichoruka jana 21/12/2015 usiku Nilipigwa na mshangao wa kufa mtu pale muongoza kipindi Salama alipomuuliza Diva kama anaufahamu wimbo wa taifa akajibu kwa kifupi...
8 Reactions
121 Replies
21K Views
Mi wasanii ninaowataka warudi ni Voice Wonder Kali P Suma G Solid Ground Family Suma Lee Noorah Je wewe unawamiss kina nani?
0 Reactions
129 Replies
28K Views
Jamani kama mtanzania nimejisikia fahari sana kumuona Ali Kiba akihojiwa BBC Televison katika kipindi cha Focus on Africa huku akisifiwa kama Bongo Flava Star aliyefanya kazi na magwiji kama R...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
sparrowJR. Retweeted Future Mkhulu Bae ‏@UNcubeOthungayo Johannesburg, South Africa That Diamond Platnumz* And AKA vid is gonna be lit.
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nakumbuka kuna kipindi diamond alipotoa ile Mbagala kuna msanii flani alilalamika kaibiwa naye akatoa yake inayofanana na Mbagala. . Hivi alikuwa ni nani yule? Na yupo wapi siku hizi?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wako wapi hawa jamaa wali hit sana kwenye early 2000s. Tujuzane.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Kwa sasa naambiwa yuko Las Vegas Marekani akiiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya dunia ya Miss Universe - 2015. Wenye kumjua zaidi naomba mfunguke tumfahamu. Kwa sasa, nimepata kujua taarifa...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Nadhani wadau toka sasa mpaka kesho,Mziiki wetu kuna ushindani mkubuwa sana,hii inapelekea Diamond Platnumz kuleta Changamoto katika muziiki,na mashabiki Wa timu mbalimbali mbali na kupelekea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hili goma halichoshi aisee hata usikilize mara elfu. Ngoma kali balaa. Runtown na Uhuru wamekinogesha balaaaaa Kwa hili chege nimekuvulia kofia... https://m.youtube.com/watch?v=luwbbJ558gE
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kichwa cha bongo fleva na Rais wa WCB Diamond Platnumz ana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wake. Licha ya kuwa na tabia ya kutoa misaada bila ya kutangaza, wakati huu ameamua kutoa taarifa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom