Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Closed
Le mutuz anasatahili heshima, ni mtu mzima sana, ingekuwa amri yangu anafaa apigiwe mizinga 21. Shkamoo le mutuz Birthday loading..... 25 June :D
8 Reactions
150 Replies
25K Views
Leo nina swali,Wasanii hapa Bongo ni wengi sana na hawa wasanii ni wachache sanaa ambao hawana Management! Diamond ndo nahisi anaongoza kwa kuwa na management kubwa na huwa sijui wote wanafaidika...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Maselebriti watu wazima, Madam wa Biesiesi na huyu Jacky Mchaga wanafanana sana tabia.. Hawa ni ndege? Nachozungumzia ni tabia ya kuruka na vi-underage.. Imo damuni mwao! Nisameheni mie sijui...
6 Reactions
68 Replies
11K Views
Wala haina ubishi ya kwamba wasanii wengi wa bongo waliokuwa wanarap wameacha kurap na sasa wanafanya miziki ambayo haileweki ni aina gani ya muziki,mifano ni mingi(tema mate,kamili gado,n.k).huwa...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Kwa mara nyingine tena Wema Sepetu ameonyesha kutoa support kwa W.C.B kwa kupost picha kuhusu uzinduzi wa ngoma na utambulisho wa Rich Makovo ndani ya familia ya WCB hali hii imefanya team kiba...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Mastaa wa Filamu Bongo waliokuwa wanandoa, Mike Sangu na Salome Urassa ‘Thea’ wamepelekana kwa padri wa Kanisa la Katoliki Parokia ya Mwananyamala jijini Dar kwa ajili ya hatua ya kutalikiana...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Diamond Platnumz hana mpango wa kuwa chini na record label yoyote duniani. Infact hitmaker huyo amedai kuwa makampuni kibao yamewahi kummendea yakitaka awe chini yake lakini akayapiga kibuti...
8 Reactions
79 Replies
10K Views
STAA mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Sepetu amewafungukia wanaomsema vibaya kuwa siku hizi kafulia mpaka anatembelea usafiri aina ya Bajaj na kudai kuwa hayo ni maisha yake binafsi ambayo...
3 Reactions
48 Replies
7K Views
Nimekuwa msikilizaji wa Leo Tena ya Clouds Fm tangu kipindi cha marehemu Amina Chifupa. Najaribu kumsikiliza huyu sijui anajiita Da Hu na kina Musa Hussein. Kiukweli hata sielewi wanatangaza au...
5 Reactions
35 Replies
12K Views
Anakwambia hakuna atakae msaidia Chidi bila ya yeye kujisaidia huko kujisaidia yapaswa kusema yeye mwenyewe anataka kuacha kutumia ngada. Kasema hata Magufuli ampeleke Marekani kutibiwa bado...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Akizungumza na E news ya East Africa Tv mkuu wa Bagamoyo sobber house amesema chanzo cha Chidi Benz kuondoka kwenye kituo chao ni kutelekezwa na waliompeleka. Anasema tangia Chidi apelekwe pale...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
  • Closed
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka...
0 Reactions
317 Replies
97K Views
  • Closed
Nimekuwa nikimuona Le mutuz mara kwa mara akionyesha picha alizopiga na watu maarufu wa kiume na kike, na amekuwa akisema ana nyota ya kupendwa na watu maarufu na pia ni strategy ya kuinua...
15 Reactions
749 Replies
94K Views
Akiongea kupitia Friday Night Live kipindi kinachorushwa Live kupitia East Africa Television na kurushwa na East Africa Radio, msanii mwenye dili na Sony Music ALI KIBA aliulizwa swali kuhusu...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Ndugu wadau wa tasnia ya burudani hasa wa ukanda wa Africa mashariki, ningependa kuchukuwa nafasi kulaani vikali na kukemea vikali Tabia mbovu ya Watanzania wenzetu waliojipachika jina la...
10 Reactions
51 Replies
10K Views
Msanii wa filamu za kuchekesha, King Majuto amekanusha taarifa ambazo zilizagaa katika mitandao ya kijamii kwamba amestaafu kuigiza. Akiongea katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Jumatano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Khaa!!! huyu jamaa kila siku huwa nammezea mate ila leo kanifika hapa, yani ukipitia page yake ye kutwa kujisifia tu na kuongea mambo ya kipuuzi..
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Dah!! nakumbuka enzi za bifu la clouds na mwanamuziki lady jaydee jinsi wafanyakazi wa clouds waliposhiriki ipasavyo kumkandamamiza lady jaydee wazi wazi akiwemo Mtangazaji machachari anayepiga...
2 Reactions
46 Replies
15K Views
Kama kuna director wa video za mziki anayejituma na kufanya kazi nzuri huyu dogo ni namba moja kwa sasa hapa bongo! Huko nyuma walikuwepo Wananchi Video Production, wakaja Visual Lab wakawapoteza...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…