Wema atoa support kwa Diamond

kedrick

JF-Expert Member
Apr 25, 2015
5,080
4,914
Kwa mara nyingine tena Wema Sepetu ameonyesha kutoa support kwa W.C.B kwa kupost picha kuhusu uzinduzi wa ngoma na utambulisho wa Rich Makovo ndani ya familia ya WCB hali hii imefanya team kiba kukasirika na kutokwa na mapovu.

39060e97586a42be8023f4a7b042957b.jpg
 
WCB forever,,, sio siri Kuna mchezo unafanyika ngoja pakuche hiyo kesho
 
nilishawahi kusema, talle, fella, na sallam ni master mind wa entertainment east afrika, watu walinitukana.. yaweza kuwa ni mapenzi yake, au yaweza kuwa kaingiziwa mkwanja wanajua kutakuwa na return, fan base ya wema ni kubwa sana, kama upepo wake ukiamishiwa WCB ni pesa tu, Ally kiba alipata hiyo nafasi hakujishughulisha nayo, kama ni kweli ni deal basi iko planned na outcome yake ni pesa.
 
Team Kiba wakiona hivi.. kwao ni zaidi ya usaliti. Yani wanaumia ndani kwa ndani
 
Wema anataka kuzindua App yake so kibiashara ni move nzuri pia....naona wameanza kukua na kuanza kufikiria ku make money na sio uadui usio na maana
 
nilishawahi kusema, talle, fella, na sallam ni master mind wa entertainment east afrika, watu walinitukana.. yaweza kuwa ni mapenzi yake, au yaweza kuwa kaingiziwa mkwanja wanajua kutakuwa na return, fan base ya wema ni kubwa sana, kama upepo wake ukiamishiwa WCB ni pesa tu, Ally kiba alipata hiyo nafasi hakujishughulisha nayo, kama ni kweli ni deal basi iko planned na outcome yake ni pesa.
Hata mie naona hii n business kabisa hawa maneja watatu wa mond wanawazaga mbali sana ile isije ikawa km kipindi kile waliposema wamenda china kuigiza movie kumbe...
 
Tumeona Madame wa taifa Wema Sepetu akitangaza amani kwa Diamond.. Amepost instagram kuonyesha haitaji tena ugomvi na mtu yoyote. Pia ameoneka kusapoti kazi za WCB na kumuombea kura Diamond.

Hii imezua taaruki kubwa kwa team Wema ambao wanaona kama kawasaliti zaidi zaidi team Kiba hawataki kabisa kukubaliana nae.

Tunajua supporters wakubwa wa Ali Kiba ni team Wema.

Tunajua inapofika ishu ya kupiga kura mitandaoni team Wema ndio uamua nani awe mshindi wa tuzo haswa za hapa bongo ref tuzo za watu na Kili music.

Tunajua Wema ametoa mchango mkubwa sana kwenye hamasa na promo kwa kazi za Kiba ndio maana ata Aje pamoja na kuwa ni the best song lakini kukosa promo ya Wema ni kama inapotea.

Vipi wadau wa haya mambo mnaionaje future ya Ali Kiba kimuziki ikiwa Wema ataendelea kuweka amani na kuua vita za team?
 
Back
Top Bottom