Hizi team mbili kwa namna moja au nyingine zinachangia kurudisha mziki wetu nyuma leo hii wasanii wanajisahau kufanya kazi na kutegemea hizi team ziwabebe matokeo yake tunaona kwenye tuzo za...
Baada ya Alikiba kushindwa kupata shangwe iliyotarajiwa kutoka kwa mashabiki huku jina la mpinzani wake diamond likitawala japokuwa hakuwepo kwenye tamasha hilo.
Diva mtangazaji na shabiki mkubwa...
Hata uwe na kipaji kikubwa kiasi gani kama huna juhudi na nidhamu ya kazi inayoshahabiana na kipaji chako believe me, sahau kutokaaa. Huwa najaribu kumfikiria Mark Zuckerberg, Michael Jordan, the...
Naomba anaewajua kwa majina yao halisi,wanapoishi au viwanja vyao waigizaji hawa wawili wa tamthilia inayoonyeshwa na EATV ya siri za familia "Brenda na Kelly" muhimu kuliko yote nataka contacts...
Baba la baba diamond platnumz chibu dangote simba kaza mdogo wangu huyu kijana rayyvann anakuja kwa kasi sana
Ingawa ni kitu kizuri kuona kijana anazidi kufanikiwa tena isitoshe yupo katika lebel...
Habari wakuu!
Kutokana na uzito wa tuzo hizi za MTV Europe Music Awards, ambapo Alikiba ni mtanzania pekee anayewakilisha Tanzania na East Africa kwenye mtanange huo.
Hapa nimeamua kuleta hii...
Hivi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa Wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na Diamond.
Ila...
Kuna kipindi kinaitwa the clip .
yani kinakera sana hususani comedian mliyemuweka sio mbunifu hata kidogo anachukua viclip vya wakenya na kuviongelea ongelea hajawahi nisisimua hata kidogo
Kwa...
Umaarufu kunuka.Kipindi mile wakati huyu binti anasakamwa sana nilikuwa naamini anaonewa tu,pengine wivu.
Nimepata dakika 2 za kumfuatilia aisee huyu binti ni mchafu hafai hata kwa mkopo.Ana...
Habari wakuu
Clouds ni moja ya kituo cha tv kinachopendwa na watu hususani vijana kwa muda mrefu sana imekuwa na mpangilio usioeleweka hususani vipindi vya live(mubashara)
wakitangaza itaanza...
Nimekuja kugundua Shilole ni msanii wa muziki wa kike mwenye wafuasi wengi TZ. Vanessa haoni ndani kwa Shishi.Niliposikia mvurugano wao ikabidi nifuatilie nikagundua Shishi anawafuasi wengi ndani...
Bifu ni kubwa mno, na linachochewa sana na mashabiki wa Ali kiba, nafikiri jinsi ya kumaliza bifu hili kwa kutengeneza collabo kati ya kiba na Dmond , lakini ali kiba hataki mana anajua bifu hili...
Sijui kwanini wanamuziki wa kibongo inapokuja ku perform live ukiondoa christian bella wengi wanaimba tofauti na nyimbo zao tunazoziona kwenye luninga na redioni. Pumzi na key zinapotea sijui...
Licha ya Singeli kuwa muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki lukuki na kufanikiwa kuzalisha vipaji kadhaa mwanamuziki Mkongwe Juma Kasim Nature ameibuka na kusema muziki huo ni wa kihuni...
muonekano wake wapagawisha,laiti kama angekuwa nominated lazima tuzo zingerudi kwani ana masong makali na sauti tamu mno haswa akipafomu kwa cd kama bwana simba karoli
hapa katupia picha ila...
Picha aliyoweka Faiza Ally Instagram ya Mhe. Joseph Mbilinyi ‘Sugu'
akiwa katika pozi na mwanaye Sasha.
MSANII wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph...
Leo wakiwa mawenzi sekondari iliyopo Moshi mjini shetta amekutana na msichana ambae anadai kuwa wanafanana na kupanda stejini na kumkumbatia shetta
Baada ya kitendo kile shetta alifurahishwa na...
Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford amemmwagia sifa Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego kuwa hakuwahi kujua kama ni mkarimu huku akidai kuwa anafaa kuwa mume!
Shamsa ambaye aliachana na mume wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.