Collabo ya D'mond & Kiba, itampoteza Kiba

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,994
3,946
Bifu ni kubwa mno, na linachochewa sana na mashabiki wa Ali kiba, nafikiri jinsi ya kumaliza bifu hili kwa kutengeneza collabo kati ya kiba na Dmond , lakini ali kiba hataki mana anajua bifu hili ndo linamweka juu. Diamond anajulikana na kukubalika na wetu wengi kushnda kiba, mpaka hata bungeni amekuwa akitajwa tajwa mara kwa mara, miziki na sanaa yake imekua ikitumika UDSM katika kufundishia wanazuoni.

Cc washabiki wa kiba na diamond tuwaombe wafanye collable ili wamalize bifu. Ni vitu vya ajabu watu kukasirika eti kwa kuwa tecnomiles kamkubali Dmond, ni kweli anakubalika kwanini hamtaki.

Kingine Dmond ni mlipa kodi, juzi amelipa mil 256 TRA, ametoa madawati ya mil 48, huu uzalendo hatuoni kwa king kiba.
 
duh leo ndio nimegundua nina tatizo la kutojua kusoma sijui kuelewa
 
Bifu ni kubwa mno, na linachochewa sana na mashabiki wa Ali kiba, nafikiri jinsi ya kumaliza bifu hili kwa kutengeneza collabo kati ya kiba na Dmond , lakini ali kiba hataki mana anajua bifu hili ndo linamweka juu. Diamond anajulikana na kukubalika na wetu wengi kushnda kiba, mpaka hata bungeni amekuwa akitajwa tajwa mara kwa mara, miziki na sanaa yake imekua ikitumika UDSM katika kufundishia wanazuoni.

Cc washabiki wa kiba na diamond tuwaombe wafanye collable ili wamalize bifu. Ni vitu vya ajabu watu kukasirika eti kwa kuwa tecnomiles kamkubali Dmond, ni kweli anakubalika kwanini hamtaki.

Kingine Dmond ni mlipa kodi, juzi amelipa mil 256 TRA, ametoa madawati ya mil 48, huu uzalendo hatuoni kwa king kiba.
UDSM ipi? Tusitunge mambo kutaka kupata attention
 
Na hili bifu linaelekea mwisho we subiri...Ally atafute mbinu nyingine maana bifu tunaenda kulimaliza ili tuone
 
Na hili bifu linaelekea mwisho we subiri...Ally atafute mbinu nyingine maana bifu tunaenda kulimaliza ili tuone
Bifu ni kawaida kwa wasanii wakubwa kama Nigeria davido vs wizkid ndo inawafanya wajitume kwa style hiyo
 
Unajua kuna watu ni punga sana eti bila diamond kiba hasikiki inamaana kipindi anaimba zamani diamond alikuwepo ndo aliempa connection za r Kelly
 
Bifu ni kawaida kwa wasanii wakubwa kama Nigeria davido vs wizkid ndo inawafanya wajitume kwa style hiyo
Mkuu hakuna Bifu tena lililobaki zaidi ya Mondy na Kiba...
Wizkid na Davido walishamaliza bifu kitambo..
A.K.A na Casspernyovest walishamaliza bifu lao..
Bongo tunaenda kulimaliza..
 
Kumbe Shekh Yahaya aliacha mrithi wake?!

Oke ebu tuambie Lini Magufuli atalegeza kidogo?
 
bifu kwenye Sana'a zipo",..¡! hutegemea ni positively au vice Verser
mf.Ben pol na jux it had started ila kwa walichokifanya Jana Fiesta sioni kama lipo.

Hivyo mond na kiba bifu lao ndilo huwaongezea akili na minyumbuliko nini cha kufanya ili amtwange mwenzie **the likes of Messi & Cr7** (japo battle yao ni tofauti na hawa),.. acha tu liendelee mwenye uwezo atabaki juu tu asiye nao ataonekana pia",..
 
Back
Top Bottom