brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Baada ya Alikiba kushindwa kupata shangwe iliyotarajiwa kutoka kwa mashabiki huku jina la mpinzani wake diamond likitawala japokuwa hakuwepo kwenye tamasha hilo.
Diva mtangazaji na shabiki mkubwa wa Alikiba ametoa sababu ya staa huyu kushindwa kung'aa kupitia twitter
Diva anadai jokate ndo kikwazo cha nyota ya alikiba kushindwa kung'aa.
Hata hivyo mashabiki wa jokate hawakuvumilia na kuanza kumwagia matusi
Diva mtangazaji na shabiki mkubwa wa Alikiba ametoa sababu ya staa huyu kushindwa kung'aa kupitia twitter
Diva anadai jokate ndo kikwazo cha nyota ya alikiba kushindwa kung'aa.
Hata hivyo mashabiki wa jokate hawakuvumilia na kuanza kumwagia matusi