BASATA hizi team hamna namna ya kuzifungia

Mapensho star

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,052
4,080
Hizi team mbili kwa namna moja au nyingine zinachangia kurudisha mziki wetu nyuma leo hii wasanii wanajisahau kufanya kazi na kutegemea hizi team ziwabebe matokeo yake tunaona kwenye tuzo za kimataifa wasanii wetu wakiendelea kushinda kwa kura

Wasanii wengi wanakosa namna ya kupromote kazi zao hali ambayo,nitofauti na miaka 4 iliyopita kila msanii anaetoa kazi nzuri inafanya vizuri
Leo hii kuna watu wameenda kwa page ya mtv kulalamika kuwa kiba alistahili sasa kwa kazi ipi aliyoifanya kiba zidi ya mpinzani wake

Zipo team zinazohamasisha msanii wa nje apigiwe kura
Basata nawaomba muifanye kazi hii ya kuzifungia hizi team na hatua kali zidi yao,wamiliki wa akaunt zao maana kwanini tusi la,mama kila post hawa watu wamelaaniwa
 
Hzo team zinaonyesha ni jinsi gani Watanzania wengi ni vichaa, na hawana kazi ya kujiingizia kipato so as the only way ya kupunguza stress wanaamua kujifariji kwa kutukana mitandao ni.
Yaani ukitaka kujua wabongo hamnazo ni instagram full matusi na mapovu ni aibu ili mradi wapate followers wengi waingize pesa ya vitangazo tena matangozo yenyewe ya cosmetics
 
Naziendelee kuwepo tu,maana mi napenda jinsi zinavyompaisha DIAMOND ukitaka kudhibitisha hilo angalia atakachoposti jinsi kinavyotambaa kama moto wa petrol. Ila mimi Insta naingiaga kama msomaji tu.
 
Naziendelee kuwepo tu,maana mi napenda jinsi zinavyompaisha DIAMOND ukitaka kudhibitisha hilo angalia atakachoposti jinsi kinavyotambaa kama moto wa petrol. Ila mimi Insta naingiaga kama msomaji tu.
Mtvema vipi nakia king kala 0
 
Yaani ukitaka kujua wabongo hamnazo ni instagram full matusi na mapovu ni aibu ili mradi wapate followers wengi waingize pesa ya vitangazo tena matangozo yenyewe ya cosmetics
Yani pamoja sheria ya mawasiliano watu hawakomi kabisa wangeshikwa watu wa NNE wa sample na wengine wangekoma kabisa. Wengi wawatukanaji wanatfta followers kwa bidii sema na ushamba wa mitandao watu wa nao ila wakizoea zitapotea tu
 
Hzo team zinaonyesha ni jinsi gani Watanzania wengi ni vichaa, na hawana kazi ya kujiingizia kipato so as the only way ya kupunguza stress wanaamua kujifariji kwa kutukana mitandao ni.
Nyie watu kuwa na timu inawauma nini..kuna wengine ndo raha yao hiyoo so tusiingiliane kwenye interest binafsi
 
Back
Top Bottom