Sauti Sol ni kundi la muziki la nchini Kenya likijumuisha waimbaji Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Savara Mudigi pamoja na mpiga guitar wao Polycarp Otieno.
Navy Kenzo ni kundi la nchini...
Guys mniwie radhi kama ntawaboa,lakini nimeona nijue hili.kwani hakunaga dogi fj!!.Tumeona hapa mbongo kuna watu hata ukiskia saut yake tu,au kuona picha yake unamtambua hata kama hukuwahi kumuona...
Hii ilitokea juzi wakati wa fiesta ambapo mwandishi akiwa anamhoji Wema Sepetu, Idris aliyekuwa pembeni aliteleza kama maji na kutokomea kusikojulikana!Hali hiyo ilimuacha mlimbwende Wema kwenye...
Si wengine bali ni vijana wawili Wizkid (Nigeria) na Alikiba (Tanzania). Kwanini nawaita ni watu wabaya au the most wanted in Africa?
1.Both Wizkid na Alikiba are most talented Artist, Yani...
Niaje wadau.
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata.
Kwa mujibu wa Mtv Ema...
Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri na filamu ya ‘Safari ya Gwalu’ Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa siku hizi hakuna wanawake wa kuoa.
Mwigizaji huyo ambaye anapewa nafasi kubwa...
Miss Tanzania 2016 Diana Edward ambaye ndiye mrembo anayetarajiwa kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia ‘Miss World’, ameilalamikia kamati ya mashindano hayo kwa...
Hapo awali, Wizkid hakuwa mtu aliyejishughulisha kabisa na masuala ya tuzo. Lakini siku za hivi karibuni baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo kwenye MTV MAMA, huenda aliamua kuufungua moyo...
Hatimaye mshindi wa mtv ema ametangazwa hivi punde kipengele cha african act huku Wizkid akitangazwa mshindi.
Alikiba aliekuwa na matumaini makubwa kushinda ameangukia pua
Wizkid amewashinda...
Kwa wale tuliobahatika jana kuwepo pale Leaders nadhani tulijisikia vibaya sana kuona mtoto wa nyumbani Diamond bin Laden alivyofanya show substandard ukilinganisha na Wiz Kid.
Kiukweli Diamond...
Wakuu
Msanii mkali unapiga show pesa inaingia, album unauza na zinauzika pote duniani, tuzo za nini? Sasa ifike wakati serikali iweke mfumo wa album vizuri.
Wasanii washindane kimauzo ya album...
Imekuwa ni kama fashion sasa kwa wasanii wa Bongo Fleva kwa kila mmoja kutaka kuwa na lebo yake. Ukiachilia mbali wale ambao walikwishatangulia kwenye mambo hayo na lebo zao zikafanya poa.
King...
Diamond platnumz amesema kuwa yupo anajichanganya na wanawake wengi sana, anawindwa sana na wanawake na yeye akiamua kuwinda hakosi yoyote
Na pia amejifananisha yeye na simba na wanawake ni swala...
Mkali wa bongo fleva Alikiba au King Kiba akiongea kwenye kipindi cha Jahazi clouds fm amesema management yake inafuatilia kujua vigezo gani vilitumika kupata mshindi wa mtv ema iliyotelewa jana...
Wasanii kadhaa wamekuwa wakilalamika ya kwamba wamekuwa na kura nyingi lakini zinapokuja kutolewa tuzo wanabaki midomo wazi na kushangaa anapata mtu mwengine, hii ishu imemkuta Huyu msanii wetu wa...
Diamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best...
Habar wadau, hii APA ni akili kubwa kuusu nan ni bora zaid kati ya hawa maharamia wawili wa mzik wa bongo fleva.
Natoa facts tu (zikikuuma its for ur own risk)
1. Alikiba ni mkongwe kwenye game...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.