Shishi Baby: Msanii wa muziki wa kike mwenye wafuasi wengi Instagram TZ

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,845
Nimekuja kugundua Shilole ni msanii wa muziki wa kike mwenye wafuasi wengi TZ. Vanessa haoni ndani kwa Shishi.Niliposikia mvurugano wao ikabidi nifuatilie nikagundua Shishi anawafuasi wengi ndani ya Insta.

Japo kuwa Vanessa anapiga kimataifa lakini tukija kuangalia followers Shishi yupo na wengi
Shishi: 1,539,889 Vanessa: 1,524,374

Kwa upande wa Followers Shishi anakimbiza.
 
kumbuka mtandao wa insta s facebook maana una watu wachache wanaotumia ktokana na uwezo wa cmu ebu nenda fb.na twitter
 
Cheki kile kitiki cha blue (verified) kipo kwa nani ........ maana hiko ndio wengi wanakililia.
 
kila followers kwa mtu ana sababu zake ziwe negative au positive yaani kuna wengine wanaweza kufollow mtu kutokana na vituko vyake na wengine wakamflollow mtu kutokana na muziki wake
Kwani mimi kwenye thread hii nimesemaje?
 
Fatilia pia wanao'mfollow huyo mashishi bebi tabia zao na shishi zinaendana ni watu wa kazi!
Hiyo ya kufuatilia siyo kazi yangu. Labda ungenisaidia. Ila kwa mjibu wa Insta. Shishi baby ndiye msanii pekee wa kike kwa sasa Tanzania mwenye followers wengi Duniani.
 
Unaweza ukawa na wafuasi wengi kutokana na vituko vyao pia na haimaanishi kwamba unapendwa
Sioni cha kushangaza hapo,watanzania wengi wanapenda kufuatilia vitu ambavyo havina manufaa kwao sanasana udaku.cheki mfano mdogo tu magazeti yepi yanasomwa sana,w/ke wanapenda ya udaku na w/ume wengi ni ya michezo..
 
mkuu mwanaJF kama wewe ukileta uzi, kazi yetu wengine ni kuunogesha, au unahisi nimekupinga?
Lakini haiondoi ukweli kwamba Shishi Baby ndiye msanii kwa sasa hapa bongo wa kike mwenye washabiki wengi duniani.

Hebu jaribu kama wewe utaweza kupata hata 100,000. Wanaokupenda na wasiokupenda.
Ninamaanisha kuwa amefanya kazi kubwa kupata washabiki wengi kiasi hicho anastahili kupewa zawadi.
 
Sioni cha kushangaza hapo,watanzania wengi wanapenda kufuatilia vitu ambavyo havina manufaa kwao sanasana udaku.cheki mfano mdogo tu magazeti yepi yanasomwa sana,w/ke wanapenda ya udaku na w/ume wengi ni ya michezo..
Insta ni dunia nzima siyo bongo tu. Shishi Baby anamzidi mpaka Yemi Alade. Huoni anajituma kufurahisha washabiki wake? Hebu jaribu wewe kufanya kitu cha ovyo kama utapata wafuasi hata 40000.
 
Nimekuja kugundua Shilole ni msanii wa kike mwenye wafuasi wengi TZ. Vanessa haoni ndani kwa Shishi.Niliposikia mvurugano wao ikabidi nifuatilie nikagundua Shishi anawafuasi wengi ndani ya Insta.

Japo kuwa Vanessa anapiga kimataifa lakini tukija kuangalia followers Shishi yupo na wengi
Shishi: 1,539,889 Vanessa: 1,524,374

Kwa upande wa Followers Shishi anakimbiza.
Maskini!! Kwa hiyo ukiwa na followers wengi nayo sifa!!?
 
Back
Top Bottom