Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ray ametoa ujumbe ambao unalenga kutoa uelewa kwa mashabiki hasa wa filamu na muziki nchini ambao wamekuwa wakiponda juhudi za mastaa wa Kitanzania Huku akitolea...
8 Reactions
77 Replies
11K Views
Kama ulikuwa hujui, hawa jamaa wa Tamaduni Music wanakubalika sana nchini Kenya. Hiphop yao inaeleweka sana. Kuanzia Nikki Mbishi, One The Incredible, Songa, Stereo, P The Mc, Maalim Nash na...
5 Reactions
132 Replies
19K Views
Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach...
5 Reactions
354 Replies
43K Views
Lord Eyes: weusi ni wabinafsi http://www.muungwana.co.tz/2017/04/lord-eyes-weusi-ni-wabinafsi.html
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Amesema wasanii hao wanatoa movie nyingi ndani ya muda mfupi kinachopelekea zikose Quality
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Siku chache baada ya staa mwimbaji Diamond Platnumz kuzindua Perfume yake mpya “Chibu Perfume” na kuonesha kupokelewa kwa nguvu kubwa nchini Tanzania, Naibu Waziri wa Afya, Hamis Kigwangalla...
3 Reactions
68 Replies
10K Views
Mastaa wakongwe nchini, Nuru Nassoro, maarufu kama Norah, pamoja na staa mwenzie blandina chagula (Johari) sasa hivi mambo yamekua shwari baada ya bifu la muda mrefu kati yao. Chanzo cha bifu...
3 Reactions
47 Replies
8K Views
Kwa Mara ya kwanza nilianza kufahamu Steve NYERERE katika kampeni za CCM miaka nyuma akigiza sauti ya NYERERE miaka ya 2000. Lakini katika kwa sasa hivi namekuwa nikimsikia issue yoyote...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Asema wale wote waloenda kushiriki mgomo ni matahira Afananisha kugoma kwao na wasanii wa muziki kugoma nyimbo za kina drake zisipigwe. Msikize hapo juu
9 Reactions
61 Replies
9K Views
ORGANISERS of all Africa Music Awards (AFRIMA)have announced that events leading up to ceremony will start on 2 May.
1 Reactions
5 Replies
897 Views
JB amedai hamfahamu mwanamuziki huyo na wala hasikilizagi bongo fleva, ila kwa kauli yake hiyo amesema anampenda sana japo amemdiss, Yeye pamoja na kusema hasikilizi Bongo Flevaila hawachukii...
4 Reactions
49 Replies
7K Views
Ni swala ambalo linanitatiza sana,nlichofundishwa shuleni na ninachojua ni kwamba these stars are supposed to be an example to the society..lakini wamekua wakionyesha vitu tofauti sana,wao ndo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JB afunguka aeleza sababu ya mgomo sio kufungia Movie za nje, bali ni kutaka walipe vibali na kodi kama wao. Akiri kwambamovi za njeni bora kuliko zao. afananisha movie hizo mbili na bia ya safari...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa You Tube hizi ndio nyimbo maarufu Tanzania. YOU TUBE.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Bongo movie mnakela sana, movie zenu hazna uhalisia, mnaigiza madudu bora hata enzi za kina Muogo Mchungu, japo production ilikuwa duni ila watz tulienjoy, leo dunia ya digitally ila mnaigiza...
0 Reactions
Replies
Views
Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa
6 Reactions
127 Replies
14K Views
Katika harakati za kurudisha kwa jamii kile anachokipata, mkali wa wimbo ‘Marry You’, Diamond Platnumz, ameweka wazi mpango wake wa kujenga hospitali ya moyo na magonjwa mengine katika mtaa...
9 Reactions
79 Replies
10K Views
Baada ya kuliangalia suala la ndugu zetu wa Bongo Movie kwa undani na hasa kupitia ushirikiano mkubwa wanaopewa na Ndugu Paul Makonda, naomba ushauri huu uzingatiwe ili kuokoa jahazi linalozama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko ni moja kati ya nyimbo ambazo zinafanya vizuri katika sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, katika kipindi kifupi tangu itoke. Imedaiwa kuwa, wimbo huo...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Inauma sana aisee pole kaka utapona hajarishi unapitia magumu kiasi gani pambana mpaka mwisho.
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…